Babu ODMTaratibu shemeji... anaitwa Blaki Womani
Taratibu shemeji... anaitwa Blaki Womani
Labeka, kwa maana umeniitaBabu ODM
Tiefuefu....Hivi bishanga tunampata wapi?
Muda si mrefu atakujamiss chagga unamwonaga huku?
Huyu nitamleta siku si nyingiunaifahamu ID yake?
Dah, kumbe na mimi mkongwe ee!!!
Huku ndo kapasusa kabisa?Tiefuefu....
Arif umepotea sana swahiba... Uko Torabora au Sudani ya Kusini?Dah, kumbe na mimi mkongwe ee!!!
Mimba inaendeleaje?Huku ndo kapasusa kabisa?
Dah, kumbe na mimi mkongwe ee!!!
Nipo mkuu, huwa nachungulia chungulia tu humu. Majukumu yamenibana sana kwa sasa!Arif umepotea sana swahiba... Uko Torabora au Sudani ya Kusini?