ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa umenifurahisha bestito tunazungumzia ulivyojiunga hapa jfmie bado sijawa mkongwe...............
Nakusaka ujue!Hapa hapa
Mie bado sijajiunga!hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa umenifurahisha bestito tunazungumzia ulivyojiunga hapa jf
Nipo aisee, sorry hii simu its like haisomi notificationsNakusaka ujue!
Yees tuko poa sanaWazima?
Kwani wewe ni mchepuko?ha ha haha