Wakongwe hawa wa BBC Dar wako wapi?

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
530
Wadau, nimezimisi sana sauti za wakongwe wa BBC hapa TZ miaka ya nyuma kidogo. Wakongwe hawa ni Abdalllah Majura na John Ngahyoma, sauti zao walipotuma habari BBC zilikuwa zinavutia sana tofauti na hawa wa siku hizi ambao ni kama vile wanajifunza kusoma (naamini wata-improve).

Mikataba yao ilikwisha, kitumbua kiliingia mchanga au ndo wamekuwa makungwi wa hawa chipukizi walipo sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…