Ntwiz boy lg
Member
- Dec 9, 2020
- 20
- 14
mkuu wewe hapo unaona umepatia kuandika??ππππ
Jizunde kuandika vizuri...don't type kama una mwandikia rafiki mwenzako sms sisi ambao tumezuoea english na tunajifunza kiswahili tutapata shida. bora utumie hata english
Si jui andika swahili ufasaha.mkuu wewe hapo unaona umepatia kuandika??
mkuu why umebadili ID?? kulikoniSi jui andika swahili ufasaha.
Kuna demu humu amenikataa...nimeamua kufuta ushahidi na aibu bwashee..mkuu why umebadili ID?? kulikoni
Weka utambulisho wako sawasawaUmri: 28
Kazi: bodabodA
Najisikia furaha kuwa nanyi hapa jukwaani
#tulijenge taifa kwa pa1 kwa hoja zenye Manufaa
Ndio hujui swahili vizuri wewe bwashee!? . Basi ulifaa uwe mkalimani...Kuna demu humu amenikataa...nimeamua kufuta ushahidi na aibu bwashee..