ni gari nzuri, confortable, stable on the road so ni nzuri kusafiri pia. engine yake ni 1G-FE VVTI inatumia technology nzuri kwenye uchomaji wa mafuta. ulaji mkubwa wa mafuta unakuwa unavyokua kati ya 80km/hr ma 100 km/hr spidi ya juu ya hapo fuel efficiency inakua nzuri tena. kwa mfano ukijua kubalance mafuta unaweza tumia full tank moja ukasafiri Dar to Arusha. However ukipata nayo ajali hata kama vifaa vya bodi uki replace bado itaonyesha kwa mbali unless upate mechanic mzuri sana. Usipolitunza kimuonekano linapoteza mvuto mapema sana. spares zake za steering system eg rack ends stabilizer links, wishbone bushes etc zinabei average ambazo mtu wa kipato cha kati atazimudu. on safari usipokuwa makini unajistukia tayari ume clock 180 kms/hr speed ambayo ni top speed kwa gx 110. niliwahi kuwa nayo kwa miezi kadhaa mwaka 2010 so naongea kutokana na experience. ni hayo tu mkuu.