Wakristo na Miujiza

Wakristo na Miujiza

Attack

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
894
Reaction score
1,608
Amani iwe nanyi.

Kadri siku zinavyosogea vinaibuka vizazi hatari kuliko maelezo, karibu asilimia 90 ya wakristo hawasomi hata maandiko (BIBLIA) wanajiendea tu kama kondoo aliepotea.

Katika Biblia takatifu MUNGU amesisitiza sana kufanya kazi, lakini unashangaa Kuona wakristo wengi leo hii hawataki kufanya kazi kwa juhudi, kutwa yupo ibadani , akinukuu maandiko Kwa makosa, utasikie eti MUNGU amesema.

22 Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.
Luka 12:22

23 Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
Luka 12:23

24 Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!
Luka 12:24

Mpendwa kuwa makini ,MUNGU habadiliki.

MUNGU anasisitiza swala la kazi sana, hata kabla ya dhambi alimuweka Adam kwenye bustani ili ailime na kuitunza.

Kuna amri ya MUNGU inasema "siku sita tenda mambo Yako yote na ya saba ni ya Bwana MUNGU wako...."

Hasa Hawa wamama hawataki hata kuhoji ni akisikia tu YESU anatajwa basi tayari anataka apokee🫢, mimi Kuna mtu wangu wa karibu sana katupiwa vipande kanisani na wanashuhudia kwenye kanisa hiyo zaidi ya watu watu wamekuwa vichaa!

Naamini uwepo wa MUNGU MMOJA ,siwezi kumpa nafasi mchungaji kunidanganya na kunifanya mateka never!, kama ni kitu kinahitaji maombi kweli NTAJIWEKEA MIKONO KICHWANI NA NTAJIOMBEA MWENYEWE.

Chukua Tahadhari Kwa kuyachunguza maandiko....
 
Amani iwe nanyi....
Kadri siku zinavyosogea vinaibuka vizazi hatari kuliko maelezo, karibu asilimia 90 ya wakristo hawasomi hata maandiko (BIBLIA)
wanajiendea tu kama kondoo aliepotea.

Katika Biblia takatifu MUNGU amesisitiza sana kufanya kazi, lakini unashangaa Kuona wakristo wengi leo hii hawataki kufanya kazi kwa juhudi, kutwa yupo ibadani , akinukuu maandiko Kwa makosa, utasikie eti MUNGU amesema..
22 Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.
Luka 12:22

23 Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
Luka 12:23

24 Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!
Luka 12:24

Mpendwa kuwa makini ,MUNGU habadiliki, .....
MUNGU anasisitiza swala la kazi sana, hata kabla ya dhambi alimuweka Adam kwenye bustani ili ailime na kuitunza....
Kuna amri ya MUNGU inasema "siku sita tenda mambo Yako yote na ya saba ni ya Bwana MUNGU wako...."

Hasa Hawa wamama hawataki hata kuhoji ni akisikia tu YESU anatajwa basi tayari anataka apokee🫢, mimi Kuna mtu wangu wa karibu sana katupiwa vipande kanisani na wanashuhudia kwenye kanisa hiyo zaidi ya watu watu wamekuwa vichaa!!!!

Naamini uwepo wa MUNGU MMOJA ,siwezi kumpa nafasi mchungaji kunidanganya na kunifanya mateka never!, kama ni kitu kinahitaji maombi kweli NTAJIWEKEA MIKONO KICHWANI NA NTAJIOMBEA MWENYEWE.

Chukua Tahadhari Kwa kuyachunguza maandiko....
Huwez kujiwekea mikono huku unaumwa mkuu, na hakuna kifungu kinasema kiwekee mikono, ila kuomba imeambiwa uombe bila kukoma, kuombewa nayo ipo
 
Kwani miujiza ni dhambi? wapi ktk biblia imeandikwa miujiza ni dhambi!
Be careful with fake miracles.
MIUJIZA halisi si dhambi na ndio inahitajiku, kutuponya magonjwa, kuondoa mapepo.......
Shida ni hichi kizazi kinachooamini Kila ROHO, ROHO zingine ni za shetani

24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Mathayo 24:24

BE CAREFUL 😉
 
Huwez kujiwekea mikono huku unaumwa mkuu, na hakuna kifungu kinasema kiwekee mikono, ila kuomba imeambiwa uombe bila kukoma, kuombewa nayo ipo
Mkuu ni kweli lakini Kwa kizazi hichi tulipofikia chukua Tahadhari sana, kama nikuombewa na mchungaji Fulani jaribu kumfatilia kwanza je anaendana na BIBLIA?
 
Amani iwe nanyi....
Kadri siku zinavyosogea vinaibuka vizazi hatari kuliko maelezo, karibu asilimia 90 ya wakristo hawasomi hata maandiko (BIBLIA)
wanajiendea tu kama kondoo aliepotea.

Katika Biblia takatifu MUNGU amesisitiza sana kufanya kazi, lakini unashangaa Kuona wakristo wengi leo hii hawataki kufanya kazi kwa juhudi, kutwa yupo ibadani , akinukuu maandiko Kwa makosa, utasikie eti MUNGU amesema..
22 Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.
Luka 12:22

23 Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
Luka 12:23

24 Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!
Luka 12:24

Mpendwa kuwa makini ,MUNGU habadiliki, .....
MUNGU anasisitiza swala la kazi sana, hata kabla ya dhambi alimuweka Adam kwenye bustani ili ailime na kuitunza....
Kuna amri ya MUNGU inasema "siku sita tenda mambo Yako yote na ya saba ni ya Bwana MUNGU wako...."

Hasa Hawa wamama hawataki hata kuhoji ni akisikia tu YESU anatajwa basi tayari anataka apokee🫢, mimi Kuna mtu wangu wa karibu sana katupiwa vipande kanisani na wanashuhudia kwenye kanisa hiyo zaidi ya watu watu wamekuwa vichaa!!!!

Naamini uwepo wa MUNGU MMOJA ,siwezi kumpa nafasi mchungaji kunidanganya na kunifanya mateka never!, kama ni kitu kinahitaji maombi kweli NTAJIWEKEA MIKONO KICHWANI NA NTAJIOMBEA MWENYEWE.

Chukua Tahadhari Kwa kuyachunguza maandiko....
Yesu sio mjinga kuacha kanisa, moja chini ya Petro, ambalo lipo mpaka kiama. Mtatangatanga sana.
 
Be careful with fake miracles.
MIUJIZA halisi si dhambi na ndio inahitajiku, kutuponya magonjwa, kuondoa mapepo.......
Shida ni hichi kizazi kinachooamini Kila ROHO, ROHO zingine ni za shetani

24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Mathayo 24:24

BE CAREFUL 😉
Kwa nini hao wahubiri wa ukweli wasifanye miujiza ya kweli ili waongo wadhihirike? waumini wa leo wamechoka kusali ktk makanisa ambayo unavyoingia ndivyo unatoka hivyo hivyo miaka nenda rudi..hakuna kinachobadilika iwe kiroho, kiuchumi ama kitabia... zaidi ni kukamuliwa fungu la kumi na michango lukuki, wanaona heri waende kwa hao motivation speakers wapewe maneno ya faraja na kutia moyo
 
Back
Top Bottom