Wakristo wa zamani walienda Sokoni kwa sababu walikuwa na Biashara sio Kuhubiri wapate Sadaka

Wakristo wa zamani walienda Sokoni kwa sababu walikuwa na Biashara sio Kuhubiri wapate Sadaka

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Mfumo wa kuhubiri Sokoni huku watu wanaendelea na shughuli zao siuungi mkono.

Ilitakiwa twende Sokoni kufanya Biashara kwa viwango vya juu ya kiroho ili tuwabadikishe wasioamini.

Injili ingekuwa rahisi Sana.

Ukisikia Paulo kaenda Sokoni au getini. Kumbuka alikuwa Ni mfanyabiashara pia. Alikuwa anauza vikapu, au mahema na wezake wakina Akila na Pricilla.

Wakati anaingiza pesa anachapa na neno. Ila neno lake lilikuwa Kali Sana Hadi anatandikwa makofi na kuchapwa bakora na wakuu wa soko.

Walipoona anapoints walimtoa Sokoni na kwenda pembeni kwenye ulingo wa hoja ili mabishano yao yasiathili Biashara Sokoni. Mfano Matendo 17 kule ugiriki athene.


Hii ya spika na bakuli la Sadaka sio sahihi. Ilitakiwa mtumishi awe na kabiashara kwa pembeni ili watu wajifunze kwa vitendo namna ya kuhudumia Biashara bila ujanjaujanja.


Kimsingi Ni rahisi kumbadili mtu kwa maisha unayoyaishi na maneno kidogo kuliko kuvizia watu usiowajua na kuwasumbua kazini.


Nini mtazamo wako.
 
Acha injili ihubiriwe popote pale..usiiweke mipaka injili..watu wengi wapo upotevuni wamefungea vifungo vya yule muovu.

Kwahiyo kwako ni bora waende wakata viuno sokoni kuliko wa hubiri wa injili.


#MaendeleoHayanaChama
 
Mfumo wa kuhubiri Sokoni huku watu wanaendelea na shughuli zao siuungi mkono.

Ilitakiwa twende Sokoni kufanya Biashara kwa viwango vya juu ya kiroho ili tuwabadikishe wasioamini.

Injili ingekuwa rahisi Sana.

Ukisikia Paulo kaenda Sokoni au getini. Kumbuka alikuwa Ni mfanyabiashara pia. Alikuwa anauza vikapu, au mahema na wezake wakina Akila na Pricilla.

Wakati anaingiza pesa anachapa na neno. Ila neno lake lilikuwa Kali Sana Hadi anatandikwa makofi na kuchapwa bakora na wakuu wa soko.

Walipoona anapoints walimtoa Sokoni na kwenda pembeni kwenye ulingo wa hoja ili mabishano yao yasiathili Biashara Sokoni. Mfano Matendo 17 kule ugiriki athene.


Hii ya spika na bakuli la Sadaka sio sahihi. Ilitakiwa mtumishi awe na kabiashara kwa pembeni ili watu wajifunze kwa vitendo namna ya kuhudumia Biashara bila ujanjaujanja.


Kimsingi Ni rahisi kumbadili mtu kwa maisha unayoyaishi na maneno kidogo kuliko kuvizia watu usiowajua na kuwasumbua kazini.


Nini mtazamo wako.
Marko 16:15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe.
Hilo ni agizo, we shupaza shingo tu.
 
Mfumo wa kuhubiri Sokoni huku watu wanaendelea na shughuli zao siuungi mkono.

Ilitakiwa twende Sokoni kufanya Biashara kwa viwango vya juu ya kiroho ili tuwabadikishe wasioamini.

Injili ingekuwa rahisi Sana.

Ukisikia Paulo kaenda Sokoni au getini. Kumbuka alikuwa Ni mfanyabiashara pia. Alikuwa anauza vikapu, au mahema na wezake wakina Akila na Pricilla.

Wakati anaingiza pesa anachapa na neno. Ila neno lake lilikuwa Kali Sana Hadi anatandikwa makofi na kuchapwa bakora na wakuu wa soko.

Walipoona anapoints walimtoa Sokoni na kwenda pembeni kwenye ulingo wa hoja ili mabishano yao yasiathili Biashara Sokoni. Mfano Matendo 17 kule ugiriki athene.


Hii ya spika na bakuli la Sadaka sio sahihi. Ilitakiwa mtumishi awe na kabiashara kwa pembeni ili watu wajifunze kwa vitendo namna ya kuhudumia Biashara bila ujanjaujanja.


Kimsingi Ni rahisi kumbadili mtu kwa maisha unayoyaishi na maneno kidogo kuliko kuvizia watu usiowajua na kuwasumbua kazini.


Nini mtazamo wako.
Sawa mkuu,mambo hubadilika kulingana na wakati.
 
Mambo yamebadilika zamani ilikuwa ukitaka kuoa lazima utongoze kwa miaka kadhaa pia uende kutumika ukweni kama kulima nk.
Siku hizi unatongoza mtu kupitia video calls au text na siku hiyohiyo au pili yake unanyandua na mimba unatia kiulaini.
Wazamani sio wa sasa mambo yamebadilika.
Usiishi kwa kukariri.))
 
Mfumo wa kuhubiri Sokoni huku watu wanaendelea na shughuli zao siuungi mkono.

Ilitakiwa twende Sokoni kufanya Biashara kwa viwango vya juu ya kiroho ili tuwabadikishe wasioamini.

Injili ingekuwa rahisi Sana.

Ukisikia Paulo kaenda Sokoni au getini. Kumbuka alikuwa Ni mfanyabiashara pia. Alikuwa anauza vikapu, au mahema na wezake wakina Akila na Pricilla.

Wakati anaingiza pesa anachapa na neno. Ila neno lake lilikuwa Kali Sana Hadi anatandikwa makofi na kuchapwa bakora na wakuu wa soko.

Walipoona anapoints walimtoa Sokoni na kwenda pembeni kwenye ulingo wa hoja ili mabishano yao yasiathili Biashara Sokoni. Mfano Matendo 17 kule ugiriki athene.


Hii ya spika na bakuli la Sadaka sio sahihi. Ilitakiwa mtumishi awe na kabiashara kwa pembeni ili watu wajifunze kwa vitendo namna ya kuhudumia Biashara bila ujanjaujanja.


Kimsingi Ni rahisi kumbadili mtu kwa maisha unayoyaishi na maneno kidogo kuliko kuvizia watu usiowajua na kuwasumbua kazini.


Nini mtazamo wako.
Ni kweli kabisa unachosema biashara za zamani zikikuwa zinamilikiwa na wakristo na wahubiri injili walikuwa matajiri sana yani wanahubiri na chakula unapewa...sasa kilochobadilika ni imani wakristobwa sasa imani ni ndogo hatuna maombi kwa hyo tukishambuliwa kidogo tunakuwa hoi... ila wapo wakristo matajiri sana na wanafanya biashara vizur sana asikwambie mtu biashara ya mkristo inapigwa vita sana yani hata ukiuza kitu kidogo utashangaa utapigwa vita utatumiwa majini mpaka ukome kuna dada mmoja hapo ubungu msewe sitasahau walikuwa wanapanga biashara eneo flani hv yule dada akaanza kuuza utumbo wa kuku lkn kwa ubunifu akiweka viungo yani ulikuwa mtamu unaruka nyama unanunua utumbo daah siku moja mama mmoja wivu tu akampa chakula akajua heri daah akaanza kuumwa mpaka kifo ilituuma sana ukifungua biashara kama mkristo omba sana yani ujafaNya maombi ya kufungua duka ukiwa dukani amasivyo unafungua duka halaf haji hata mtu kuuliza unakutana na jamaa anakwambia nilikuja kununua lkn umefunga duka vita ya mapato mi kubwa sana ila Mungu yupo imani ya wengi siku hz imeshuka watu wanakata tamaa mapema shetani hujaribu akikuona unaendelea kupambana anarudi nyuma.tatizo imani...tuombe Mungu atusaidie...
 
Back
Top Bottom