Wakristo wanaoilaani na kuishambulia Israeli taifa teule wamepotoka?

Wakristo wanaoilaani na kuishambulia Israeli taifa teule wamepotoka?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ni sahihi kwa Mkristo kuipinga, kuibagaza, kuilaani na kushambulia taifa teule la Israel wakati Biblia imejaa maandiko tele yanayoonyesha Israel ni taifa teule ambalo ukilibariki na wewe utabarikiwa ?

Mkristo kuilaani Israel sio kwenda kinyume na maandiko yanayomuongoza pamoja na viongozi wake wa kiroho?
 
Kama namwona MK254 akipijigia chabo:

IMG_20211016_132442_593.jpg
 
Back
Top Bottom