johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mungu uwajalie Watumishi wako wanaokesha na kuomba kwa ajili ya Taifa Hili
Naelewa KKKT kimara kuna mfungo unaendelea
BCIC kwa Askofu Gamanywa kuna mfungo wa siku 70 unaendelea
Kwa Mtume Mwamposa kadhalika kuna mfungo unaendelea
Na katika makanisa mbalimbali ambayo sijayataja
Basi ninaomba Baraka za Mungu wa mbinguni zitembee pamoja nanyi, amen!
Naelewa KKKT kimara kuna mfungo unaendelea
BCIC kwa Askofu Gamanywa kuna mfungo wa siku 70 unaendelea
Kwa Mtume Mwamposa kadhalika kuna mfungo unaendelea
Na katika makanisa mbalimbali ambayo sijayataja
Basi ninaomba Baraka za Mungu wa mbinguni zitembee pamoja nanyi, amen!