Naomba mawasiliano tafadhali plus bei kama htojali.I'm not making the publicity of your business ila napenda nijiandae kabla ya kuja na nikija tufanye biashara. Nashukurukwa sasa nivigumu kupata, njoo nikuuzie kifaaa cha kuanlock bios kinatumia brutoforce password calculater kinatoa master code ya computer zote
Aaaah! bosi hivi tena? nna maana kuna wakati inatokea watoto wako au hata we mwenyewe unknowingly ukaset bios pwd na ukasahau.Sasa kwa mimi kama mtu ninayetoa huduma ya kurekebisha kompyuta ninatakiwa niwe na solution kwa hilo thats why natafuta hiyo shule ndg yangu. Summerily: sitoi tu bios pwd, njifunza kuunlock bios pwd zilizofungwa kimakosa na tena ukija mpaka upitie interview yangu na nithibitishe kweli hiyo laptop ni yako nalweli unahitaji msaada huo. Karibu tenaKwa nini utoe password za BIOS? Walioziweka waliweka za nini?
Wewe siyo kwamba una deal kuflash bios za computer za deal hapa town? Ili upate msaada tuwekee kivuli cha leseni yako tafadhali... Ukifanya hivyo nakupa msaada mda sio mrefu.
ninayo program ambayo nataka kuitoa ila source codes zake zipo kwenye lugha ya python. mimi sio mtaalam sana wa python. ndo nataka nijifunze python ili iwe rahisi kuikamilisha kazi. je naweza kukutumia upambane nayo?