The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
Hakuna ishara yoyote kuhusu mafuta. Kama hauko makini gari inaweza kuzimika.
Naomba msaàda wenu.
Naomba msaàda wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa maelezo mkuu nitashukuru.Unavifaa nikuelekeze hiyo kazi uipige mwenyewe?
Ile geji ya kuonyesha kuwa mafuta yapo full au empty yenyewe inapiga kazi?Toa maelezo mkuu nitashukuru.
Hakuna ishara yoyote kuhusu mafuta. Kama hauko makini gari inaweza kuzimika. Naomba msaàda wenu.
Asante sana mkuuAngalia fuse kama zinafanya kazi zote.
Yes.... inafanya kaziIle geji ya kuonyesha kuwa mafuta yapo full au empty yenyewe inapiga kazi?
Hivi wewe jamaa hujui kuwa humu kuna watalaamu kuliko hata huko kwenye gereji zenu uchwara.Watanzania wengine bana....mtu anaugua badala aende hospitali atibiwe anakuja kuomba ushauri JF huku ugonjwa ukizidi kumtafuna na tatizo kuzaa tatizo.
#pelekagarilakogereji.
Huna busara.. Unadhani yanayoulizwa humu yote hayana kwingine kwa kuyauliza?Watanzania wengine bana....mtu anaugua badala aende hospitali atibiwe anakuja kuomba ushauri JF huku ugonjwa ukizidi kumtafuna na tatizo kuzaa tatizo.
#pelekagarilakogereji.
Ndani ya tank huwa kuna sensor ambayo hu_detect mafuta yatapokuwa low kisha hupeleka hiyo taarifa kwenye taa iliyopo kwenye dashboard.Yes.... inafanya kazi
Asante sana mkuuNdani ya tank huwa kuna sensor ambayo hu_detect mafuta yatapokuwa low kisha hupeleka hiyo taarifa kwenye taa iliyopo kwenye dashboard.
Sasa hapo huenda sensor ina inatatizo au waya umekatika au fuse imekata (kama ipo) au taa ya kwenye dashboard imeungua.
Busara anazo kahaba mamaako tu alokuzaa pimbi wewe.Huna busara.. Unadhani yanayoulizwa humu yote hayana kwingine kwa kuyauliza?
Nitukane mimi siyo mzazi wangu ambaye hata hajui kama kuna JF. BY THE WAY MATUSI NI DALILI YA KUISHIWA HOJA. NA MATUSI HAYA YANAZIDI KUTHIBITISHA NAMNA GANI NA KWA KIASI GANI UMEKOSA BUSARA.Busara anazo kahaba mamaako tu alokuzaa pimbi wewe.
Mara nyingi kunakuwaga nna speed sensor uvunguni kwenye gearbox. Icheck hiyoSawia na hili vipi speedometer kutopanda gari likiwa kwenye mwendo
Inakuwaga kwenye matairiMara nyingi kunakuwaga nna speed sensor uvunguni kwenye gearbox. Icheck hiyo
Asante sana MkuuMara nyingi kunakuwaga nna speed sensor uvunguni kwenye gearbox. Icheck hiyo