Wakubwa wa TANESCO kwenye ngazi za chini wasiruhusiwe kumiliki vibanda umiza.

Wakubwa wa TANESCO kwenye ngazi za chini wasiruhusiwe kumiliki vibanda umiza.

Acehood

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,653
Reaction score
2,792
Kila kukiwa na mechi nzuri lazima umeme ukate nusu saa kabla ya mechi au nusu saa baada ya mechi. Huu ni uhujumu uchumi.

Tf wanakata umeme sahz wakati game ndo inaanza second half.
 
41dpA2wVE-L.jpg
 
Kila kukiwa na mechi nzuri lazima umeme ukate nusu saa kabla ya mechi au nusu saa baada ya mechi. Huu ni uhujumu uchumi.

Tf wanakata umeme sahz wakati game ndo inaanza second half.
Next time ukiwa unatoa malalamiko ya kukatika kwa umeme/maji ni vyema ukawa specific kuwa ni eneo gani umeme umekatika.
 
Back
Top Bottom