Wakubwa wanafaidi mema ya dunia

Hua nacheka sana afu mwisho hua nasikitika pakubwa ,, kwa maisha ya sasa yalivyo mtu unapata wapi hata mda wa kuandika utumbo kama mleta mada huyo, Trump aliona mbali sana ...
Maisha ni haya haya, kuwaza bei ya mahindi, ni bora kwenda shambani kulima kuliko kumtegemea mkulima anayetumia jembe la mkono.
 
Boss katangaza ndoa kwa muuza nyama 😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Wabongo ujinga mwingi

Shule zimefungwa?

Naam ndugu mtazamqji,vita ni kali kati ya wanaowaza maendeleo na wanaowaza papuchi

Panzi wewe


Usiendekeze papuchi , utakufa maskini wa kutupwa

Kweli kabisa ngoja tuone mwisho na pia hawana majukumu kunamtu kalala kichwa kinauma anawaza watoto walipiwe ada atapatawapi muda wa kuandika nilishika paja jeupe sijui karoti😀

Kupata katiba mpya kwa tz hii n shida sn

F4 wako mtaani.

Tanzania ya viwanda ina safari ndefu sana

Ndugu zangu
Watanzania wenzangu

Kama mnahisi humu ndani Kuna mada za "Kitoto" kwanini msiwe mnaleta zenu kubwa tudiscuss...

Yaani atokee mmoja wenu ashushe financial statement ya Vodacom ili tuijadili.

Atokeaa mmoja wenu alete Loss and Profit report ya JF tuijadili.

Atokee mmoja wenu alete "Soil profile ya mgodi wa Tanzanite" tuijadili.

Au kwenu maana ya mada za kikubwa ni ipi?

#YNWA
 
Sasa kwanini umeni quote Mkuu ? Alafu unanibambikia kesi kwamba nimesema mnaleta mada za kitoto, nyie ndio huwa mnabambikia watu kesi huko serikalini

Mimi ni reporter , nime report habari yangu kwa watazamaji wangu
 
 
Mkuu mwisho wa mwezi ndio huu...tafuta nyingine uitafune... vipi offroad hukupita?
 
If you argue with a fool, you are the fool; you are wasting your time.

Simply appear to agree (nod your head) and move on.

Only attempt to change a person's opinion if it is absolutely critical.
 
You have a limited amount of energy each day.

Arguing consumes A LOT of it.

So, if you want to achieve anything meaningful in the short timespan you have, always weigh whether interacting with someone is worth your time.

Few should have the privilege of your time &attention.
 
Mada zingine ni za kijinga sana
 

Sijaelewa...
Leta kwa kiswahili...

#YNWA
 
If you argue with a fool, you are the fool; you are wasting your time.

Simply appear to agree (nod your head) and move on.

Only attempt to change a person's opinion if it is absolutely critical.

Lugha boss LUGHAAA
Kwani kwa Kiswahili haiwezekani?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…