Wakubwa wanaofuata kuaga mashindano baada ya Germany na Belgium ni Spain na Argentina kwa hatua ijayo

Haina mbambamba ongezea Brazil hapo nakuambia kwa kujiamini kabisa
 
Spain,Argentina,Brazil na France.

wote hao 👆 nawaona wapo shallow sana sijaona kabisa makali ya ukubwa wao.

Japan nawaona wanapiga kazi ya nguvu japo awana jina kwenye soka.
 
Uzi umekaa kimbea zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…