wakubwa zangu naombeni ushauri wenu katika hili;

Kwani toka form 1-4 chaguo lako lilikua combination gani?.Usipende kuchaguliwa angalia uwezo wako unadondokea wapi na unapendelea nini.Kuna mtu alichaguliwa combi na baba yake PCB wakati yeye anapenda HGE.Alivyofanya mtihani wa f6 alipata 0
 
Waweza masomo gani? siku zote fanya unachojisikia moyoni mwako.
Kombi zote zaweza kukufanya mwanasiasa...kuna madaktari wa wanyama wanaofanya siasa,walimu,wahasibu,wachumi nk.
Any one can do politics.
 
Unataka kuwa Mwanasheria?..,
 
nenda chochote unachoona utaweza coz hatupo kwenye ubongo wako....................huh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…