johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Michezo ni Upendo tena Michezo ni Furaha
Inasemekana ni Wachezaji ndio wamesema hawana Zawadi ya thamani ya kumpa mfadhili Wao Freeman Mbowe zaidi ya Ushindi wa Leo
Utopolo FC mmetisha sana
Mlale Unono 😄😄🤩😂
Inasemekana ni Wachezaji ndio wamesema hawana Zawadi ya thamani ya kumpa mfadhili Wao Freeman Mbowe zaidi ya Ushindi wa Leo
Utopolo FC mmetisha sana
Mlale Unono 😄😄🤩😂