A
Anonymous
Guest
Chuo cha SAUT kina wakufunzi baadhi wananyanyasa sana wanafunzi, wanawafelisha makusudi na bado hata wanafunzi wakirudia mitihani hawawajazii kwa kudai wao wako busy hawawezi kushughulikia wanafunzi wanaorudia somo
Kuna mkufunzi wa shule ya Sheria amewafelisha na kuwashikilia wanafunzi wengi tangu Mwaka wao wa kwanza katika somo lake la Constitutional Law mpaka mwaka wa 3 na wengine kabisa mpaka mwaka wa nne na ni tabia pia ya walimu wengi wa SAUT kushikilia kwa kusudi wanafunzi
Wapo walimu waadilifu mno na wanawasaidia sana wanafunzi kufanikiwa ila baadhi ni wanyanyaji, wananyanyasa pia mabinti kingono wakiwataka kimapenzi ila wakiwakataa wanawafelisha mpaka watakapowakubali
Wakufunzi wengine wanafikia hatua ya kufelisha hadi group members na marafiki wanaowaona na hao mabinti hadi watakapowakubali na wanaweka wazi kuwa hawawezi kufaulu hadi wawakubali
Hii inadhoofisha sana taaluma za wengi na kukatisha tamaa wengi, inarudisha nyuma sana maendeleo maana tunatengeneza taifa lenye vijana wenye visasi na walevi wa madaraka wakiamini kwa madaraka yao wanaweza kupata na kufanya lolote lile walitakalo.
Waajiri wa wakufunzi wa vyuo waangalie pia historia na maadili ya wanaotaka kuwaajiri maana kuajiri kwa kigezo cha kufaulu sana ama kujua sana somo sio jambo muhimu ila muhimu ni kuangalia maslahi ya wanafunzi na taifa kwa ujumla.
Kuna mkufunzi wa shule ya Sheria amewafelisha na kuwashikilia wanafunzi wengi tangu Mwaka wao wa kwanza katika somo lake la Constitutional Law mpaka mwaka wa 3 na wengine kabisa mpaka mwaka wa nne na ni tabia pia ya walimu wengi wa SAUT kushikilia kwa kusudi wanafunzi
Wapo walimu waadilifu mno na wanawasaidia sana wanafunzi kufanikiwa ila baadhi ni wanyanyaji, wananyanyasa pia mabinti kingono wakiwataka kimapenzi ila wakiwakataa wanawafelisha mpaka watakapowakubali
Wakufunzi wengine wanafikia hatua ya kufelisha hadi group members na marafiki wanaowaona na hao mabinti hadi watakapowakubali na wanaweka wazi kuwa hawawezi kufaulu hadi wawakubali
Hii inadhoofisha sana taaluma za wengi na kukatisha tamaa wengi, inarudisha nyuma sana maendeleo maana tunatengeneza taifa lenye vijana wenye visasi na walevi wa madaraka wakiamini kwa madaraka yao wanaweza kupata na kufanya lolote lile walitakalo.
Waajiri wa wakufunzi wa vyuo waangalie pia historia na maadili ya wanaotaka kuwaajiri maana kuajiri kwa kigezo cha kufaulu sana ama kujua sana somo sio jambo muhimu ila muhimu ni kuangalia maslahi ya wanafunzi na taifa kwa ujumla.