Wakuja mnaotokea vijijini punguzeni ushamba kidogo, mnakera aisee

Wakuja mnaotokea vijijini punguzeni ushamba kidogo, mnakera aisee

Zombie S2KIZZY

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
826
Reaction score
1,622
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Aisee ushamba mzgo

Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali anasema hao ni wachawi mafreemason au hizo Gari za familia ebo!

Fanyeni kazi bhn mpate madusko ili msione Kila mtu ni mchawi .

Hakuna sorry kwa wahusika. Shieeeet!
 
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Aisee ushamba mzgo

Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali anasema hao ni wachawi mafreemason au hizo Gari za familia ebo!

Fanyeni kazi bhn mpate madusko ili msione Kila mtu ni mchawi .

Hakuna sorry kwa wahusika. Shieeeet!
Chai
 
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee ushamba mzgo

Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali anasema hao ni wachawi mafreemason au hizo Gari za familia ebo!

Fanyeni kazi bhn mpate madusko ili msione Kila mtu ni mchawi .

Hakuna sorry kwa wahusika. Shieeeet!
Ni chini ya 1% vijana wa Dar es salaam wanao miliki magari, wengi wanamiliki simu za kaida tena sio kubwa teckno tu.
 
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Aisee ushamba mzgo

Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali anasema hao ni wachawi mafreemason au hizo Gari za familia ebo!

Fanyeni kazi bhn mpate madusko ili msione Kila mtu ni mchawi .

Hakuna sorry kwa wahusika. Shieeeet!
Kwa hyo ww ni mjanja?!
 
Na wewe unawashangaa washangaao,
Na hapa jf tunakushangaa wewe, full mishangaano.
Mishangao haitaisha kamwe, si ajabu utaishangaa hii comment pia
 
Vijana bhn yaani anatoka kwao ushaagoo kule ndani ndani anakuja Masaki anashangaa zile nyumba anaona kama kafika New York city ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Aisee ushamba mzgo

Wanashangaa vijana wadogo wenye magari makali anasema hao ni wachawi mafreemason au hizo Gari za familia ebo!

Fanyeni kazi bhn mpate madusko ili msione Kila mtu ni mchawi .

Hakuna sorry kwa wahusika. Shieeeet!
Mkuu,

Mtu ana miaka 30 hajafika pwani, kila siku anasikia kuna bahari, akifika mjini na kukukera umpeleke baharini kila saa muelewe tu.
 
Acha ikae hivyo
JamiiForums-833197156.jpg
 
Back
Top Bottom