Wakulima Dakawa-Morogoro wanasumbuliwa na wafugaji, nani wa kuwasaidiaa?

Wakulima Dakawa-Morogoro wanasumbuliwa na wafugaji, nani wa kuwasaidiaa?

molwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2015
Posts
416
Reaction score
440
Habari za leo wanajamvi!! Wakulima wa mpunga dakawa-Morogoro, Wana kilio!! Wafugaji wanaingiza mifugo mashambani kwa jeuri, wakulima hawana cha kufanya!! Ukikamata ng'ombe upeleke polisi, mwenyewe hatokei wanasubiri giza wanawaswaga na kuondoka nao.

Kuna kipindi kwa ustaarabu kabisaa walikaa kikao Cha wakulima na wafugaji na kukubaliana kuwa hakuna kuingiza mifugo mashambani hadi wakulima wavune, na ni kuanzia mwezi wa 8 tarehe 30

Sasa Cha ajabu tangu wakulima wanapanda wanakimbizana na ng'ombe hadi wanavuna!! Tunaomba msaada kama kuna wahusika humu mtusaidie, maana wafugaji wana silaha lakini wakulima hawana
 
Migogoro Ya Wafugaji Na Wakulima Hapo Hayaishi
Sasa jamanii nani wa kusikia kilio chetu mweeee!! Mamaa!!! Morogoro tuliambiwa ni ghala la chakula kwa hali hii tutashindwaa!!
 
Hapo wakulima mjiorganize tu mkuu Kama polisi hawana msaada puliza dawa zile za kuua hao wanyama wakiingiza tu wanapukutika wenyewe watahama hao wafugaj

Mwaka Jana nililima huko kusin lindi Kuna wamang'ati waliingiza mifugo so tukaungana nakupuliza dawa wale jamaa hawatasahau kilichotokea
Mbinu nzuri sana hii

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Habari za leo wanajamvi!! Wakulima wa mpunga dakawa-Morogoro, Wana kilio!! Wafugaji wanaingiza mifugo mashambani kwa jeuri, wakulima hawana cha kufanya!! Ukikamata ng'ombe upeleke polisi, mwenyewe hatokei wanasubiri giza wanawaswaga na kuondoka nao!! Kuna kipindi kwa ustaarabu kabisaa walikaa kikao Cha wakulima na wafugaji na kukubaliana kuwa hakuna kuingiza mifugo mashambani hadi wakulima wavune, na ni kuanzia mwezi wa 8 tarehe 30!! Sasa Cha ajabu tangu wakulima wanapanda wanakimbizana na ng'ombe hadi wanavuna!! Tunaomba msaada kama kuna wahusika humu mtusaidie, maana wafugaji wana silaha lakini wakulima hawana!!
wafugaji wanajibu lao kuwa ng'ombe inazaa kila siku sasa waweza shindana na wamasai?
wamasai watano wenye ngombe 1000 wakitoa ngombe watanowatao kuna kesi isiyoisha hapo wenye kila ngombe 500,000/- mara 25 na mkulima mwenye mpunga gunia 300 ataongea nini kumaliza kesi.
 
Back
Top Bottom