Wakulima hatarini kukosa mazao msimu huu

Wakulima hatarini kukosa mazao msimu huu

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Wakulima wa mahindi Kanda ya Kaskazini ambapo ni pamoja na Kilimanjaro, Arusha, na Kilindi katika mkoa wa Tanga, wapo hatarini kupata hasara katika kilimo cha mahindi kutokana na kile wanachodai mvua kukatika mapema.

Wakulima hao wengi hawajui cha Kufanya hadi sasa kutokana na kuwa waliwekeza nguvu nyingi katika kilimo msimu huu wakitarajia mvua zitaendelea kunyesha Kwa muda mrefu , lakini hali imekuwa ni tofauti kabisa na walichokuwa wakitegemea.

IMG-20240618-WA0002.jpg
IMG-20240618-WA0000.jpg
 
Kuwa specific na maeneo. Tanzania tumekuwa na mvua za kutisha kbs.

Hata waliochelewa mazao yameenda vuzuri. Pamoja na hayo nyanda za juu kusini, kutovu cha uzalishaji watalisha maeneo yote hayo.
 
Back
Top Bottom