Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Wakulima kanda ya kaskazini wahofia njaa baada ya kupata mavuno hafifu kwa kile wanachodai mvua kukata mapema mwaka huu.
Baadhi ya wakulima kutoka katika mikoa ya kilimanjaro ,manyara wamesema ni kweli mvua zilikuwa nyingi sana mwaka huu LakinI pia ziliwahi kukata kabla ya mazao Kufikia stage nzuri.
Mmoja katI ya wakulima waliokosa mazao amesema yeye Amelima heka tatu za mahindi Lakin amevuna magunia matano tu ya Mahindi.,
Na mkulima mwingine aliyelima nusu heka ameishia kupata madebe matatu ya mahindi tu na hivyo kufanya wahisi Dalili ya njaa mwakani.
Wakulima hao wameelezea kuPata hasara kubwa kutokana Gharama walizotumia tangu maandalizi ya shamba,kulima, kununua mbegu kupalilia,mbolea ,nk.
Baadhi ya wakulima kutoka katika mikoa ya kilimanjaro ,manyara wamesema ni kweli mvua zilikuwa nyingi sana mwaka huu LakinI pia ziliwahi kukata kabla ya mazao Kufikia stage nzuri.
Mmoja katI ya wakulima waliokosa mazao amesema yeye Amelima heka tatu za mahindi Lakin amevuna magunia matano tu ya Mahindi.,
Na mkulima mwingine aliyelima nusu heka ameishia kupata madebe matatu ya mahindi tu na hivyo kufanya wahisi Dalili ya njaa mwakani.
Wakulima hao wameelezea kuPata hasara kubwa kutokana Gharama walizotumia tangu maandalizi ya shamba,kulima, kununua mbegu kupalilia,mbolea ,nk.