Wakulima ni maskini, dalali ni tajiri wa kutupwa

Wakulima ni maskini, dalali ni tajiri wa kutupwa

ssl

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
138
Reaction score
102
Kwa kifupi sana naandika, amka mkulima, mshikane nchi nzima, mkatae kuuza mazao kwa madalali, mpange bei zenu wenyewe, tuwe na centre za kuuzia mazao yetu kikanda. tulime kwa kalenda, wanunuzi wafike kwenye masoko yetu wakute bei zetu. asiyetaka kwa bei yetu tumwambie watoto wetu na mifugo wetu watakula.
 
azam anazalisha juice ni tajiri. mkulima anazalisha tikiti ni maskini. dalali anauza tikiti ya mkulima ni tajiri. wakulima wakigoma kulima itakuwa sawa! wazalishe tu kwa mahitaji yao hao wa mjini watakula pesa zao hiyo si ni njema!
 
Kelele tuu hizo, hawawezi fanya lolote, kama hawajalala njaa.. Nyooo thubutu
 
Kwa kifupi sana naandika, amka mkulima, mshikane nchi nzima, mkatae kuuza mazao kwa madalali, mpange bei zenu wenyewe, tuwe na centre za kuuzia mazao yetu kikanda. tulime kwa kalenda, wanunuzi wafike kwenye masoko yetu wakute bei zetu. asiyetaka kwa bei yetu tumwambie watoto wetu na mifugo wetu watakula.

No one can beat Intelligence
 
Back
Top Bottom