The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Nimeona tweet ya Naibu Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Bashe akisema wakulima wa korosho wa mwaka jana ambao serikali ilichukua korosho zao bado wanaendelea kulipwa, nimeshangaa siyo kidogo.
Mwaka mzima serikali inalipa nini? Hayo malipo yasiyoisha ni malipo ya namna gani? Mtu aliuza korosho zake toka mwaka jana hadi leo hajalipwa? Juzi nimesikia Mheshimiwa Rais akisema walipwe haraka, ila mbona malipo yamechukua muda mrefu sana?
Serikali waoneeni huruma wakulima wa korosho.
Mwaka mzima serikali inalipa nini? Hayo malipo yasiyoisha ni malipo ya namna gani? Mtu aliuza korosho zake toka mwaka jana hadi leo hajalipwa? Juzi nimesikia Mheshimiwa Rais akisema walipwe haraka, ila mbona malipo yamechukua muda mrefu sana?
Serikali waoneeni huruma wakulima wa korosho.