Hiyo bei isikutishe Mkuu kumbuka kuwa hiyo ni siku ya Kwanza ya mnada hata mwaka juzi msimu wa 2017-2018 bei ya mnada wa Kwanza ilikuwa tsh 1580/= lakini baada ya wiki kadhaa mbele korosho iliuzwa Kwa tsh 3000/=(msimu ambao mbuzi walinyweshwa soda na bia)
Ngoja tusubiri tuone itakuaje huko mbele