jlo father
Member
- Dec 11, 2024
- 13
- 5
Wakulima wa korosho wa chama cha msingi kweli kilichopo kijiji cha msilili wilaya ya Newala mkoani Mtwara chawafanyia hujuma.
Wakulima wa korosho kwani wakulima wamepima mazao yao mwezi wa kumi na moja lakin hadi leo hayajasafirishwa kupelekwa kwenye mnada kwa makusudi kwani wanamaslai yao hivyo
Tunaomba serikali iingilie kati kwani wakulima wanapata hasara kwan bei ya zao la korosho inazidi kushuka
Wakulima wa korosho kwani wakulima wamepima mazao yao mwezi wa kumi na moja lakin hadi leo hayajasafirishwa kupelekwa kwenye mnada kwa makusudi kwani wanamaslai yao hivyo
Tunaomba serikali iingilie kati kwani wakulima wanapata hasara kwan bei ya zao la korosho inazidi kushuka