Wakulima wa mapapai na mafenesi poleni Sana. Kitumbua kimemwagiwa Mchanga!

Wakulima wa mapapai na mafenesi poleni Sana. Kitumbua kimemwagiwa Mchanga!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Katika hotuba ya Mhe. Rais leo anasema watu wake walipenyeza sampuli za mapapai na mafenesi katika maabara ya Vipimo vya COVID-19. Ikagundulika vina Corona.

Hali hii inaweza kuleta athari mbaya kwenye soko la mazao haya!

Nawasilisha!
 
Hapo ni enzi hizo kabla hayajapata Corona.
Screenshot_2020-05-03-11-46-42-1.jpg
 
Dah!! Jana tu nimetoka kula mapapai, acha nijiandae na mafukizo (nyungu)
 
Back
Top Bottom