M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 May 3, 2020 #1 Katika hotuba ya Mhe. Rais leo anasema watu wake walipenyeza sampuli za mapapai na mafenesi katika maabara ya Vipimo vya COVID-19. Ikagundulika vina Corona. Hali hii inaweza kuleta athari mbaya kwenye soko la mazao haya! Nawasilisha!
Katika hotuba ya Mhe. Rais leo anasema watu wake walipenyeza sampuli za mapapai na mafenesi katika maabara ya Vipimo vya COVID-19. Ikagundulika vina Corona. Hali hii inaweza kuleta athari mbaya kwenye soko la mazao haya! Nawasilisha!
mng'ato JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 29,200 Reaction score 49,076 May 3, 2020 #2 Hapo ni enzi hizo kabla hayajapata Corona.
bichwa tupu Member Joined Apr 21, 2020 Posts 39 Reaction score 41 May 3, 2020 #3 Dah!! Jana tu nimetoka kula mapapai, acha nijiandae na mafukizo (nyungu)
S Sendoro Mbazi JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 3,329 Reaction score 2,169 May 3, 2020 #4 Acheni siasa
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 May 3, 2020 Thread starter #5 Sendoro Mbazi said: Acheni siasa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Siasa Ni Kilimo mkuu
Sendoro Mbazi said: Acheni siasa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Siasa Ni Kilimo mkuu
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 May 3, 2020 #6 Baada ya hotuba nipo nawafukizia mbuzi wangu hapa kijijini kwetu