Wakulima wa nyanya tukutane hapa

moudytz

Senior Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
150
Reaction score
182
Mimi ni mkulima wa nyanya nipo Singida.

Sio mbaya tukabadilishana uzoefu kuhusu zao hili ambalo kimsingi zao hili linawatoa sana watu ukilima ipasavyo. Hebu tuambiane upo mkoa gani na mbegu ipi unatumia na vipi changamoto mnazo kabiliana nazo kwa kipindi hichi na soko kwa ujumla hiyo sehemu ulipo.

Natanguliza shukrani wakuu.

 
Nyanya ninyanyue Nyanya ninyanyase. Mwezi wa 9 tenga ilikua elf 4 saiz tenga elf 30. Mwakan mwez kama huu utashangaa tenga elf 5 yaan bei yake haitabiriki kabisa
 
Nyanya ninyanyue Nyanya ninyanyase. Mwezi wa 9 tenga ilikua elf 4 saiz tenga elf 30. Mwakan mwez kama huu utashangaa tenga elf 5 yaan bei yake haitabiriki kabisa
nyanya ikiamua kukupa ela utafurahi ila ikiamua kukuzika ina kuzika mzima mzima mku
 
Nyanya ninyanyue Nyanya ninyanyase. Mwezi wa 9 tenga ilikua elf 4 saiz tenga elf 30. Mwakan mwez kama huu utashangaa tenga elf 5 yaan bei yake haitabiriki kabisa
Ivi tenga moja LA nyanya zinakaa nyanya ngapi?
 
Ah mie najua ndoo 3 za litre 20 Zinaingia kwenye tenga moja
 
Ah mie najua ndoo 3 za litre 20 Zinaingia kwenye tenga moja
mhh!! mkuu hapana bwana tenga huchukua ndoo 4-5 za lita 20 na cret zile za mbao huchukua ndoo 3 za litre 20 au
ambapo tenga saiv mtaani kwangu ni elf 50 na cret ni elf 30
 
Tenga ni ndoo 3 za lita 20 na kibox cha mbao ni ndoo 2

Ilula Iringa Tanzania
mhh!! mkuu hapana bwana tenga huchukua ndoo 4-5 za lita 20 na cret zile za mbao huchukua ndoo 3 za litre 20 au
ambapo tenga saiv mtaani kwangu ni elf 50 na cret ni elf 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…