nyanya ikiamua kukupa ela utafurahi ila ikiamua kukuzika ina kuzika mzima mzima mkuNyanya ninyanyue Nyanya ninyanyase. Mwezi wa 9 tenga ilikua elf 4 saiz tenga elf 30. Mwakan mwez kama huu utashangaa tenga elf 5 yaan bei yake haitabiriki kabisa
Ivi tenga moja LA nyanya zinakaa nyanya ngapi?Nyanya ninyanyue Nyanya ninyanyase. Mwezi wa 9 tenga ilikua elf 4 saiz tenga elf 30. Mwakan mwez kama huu utashangaa tenga elf 5 yaan bei yake haitabiriki kabisa
mhh!! mkuu hapana bwana tenga huchukua ndoo 4-5 za lita 20 na cret zile za mbao huchukua ndoo 3 za litre 20 au
ambapo tenga saiv mtaani kwangu ni elf 50 na cret ni elf 30
mhh!! mkuu hapana bwana tenga huchukua ndoo 4-5 za lita 20 na cret zile za mbao huchukua ndoo 3 za litre 20 au
ambapo tenga saiv mtaani kwangu ni elf 50 na cret ni elf 30