Bwenyenye254
Member
- Mar 13, 2021
- 52
- 85
Huwa ninaikubali sana nchi ya Tanzania. Katika pilka pilka zangu za kudadisi taakwimu mbalimbali za kiuchumi ili kuilewa Tanzania zaidi, nilikutana na statistic ya kushangaza sana na ninaomba nichanganye na kizungu kidogo ili kujieleza vizuri.
Tanzania exports horticultural products(yaani vitu kama maua, matunda na mboga) worth $350 Million while Kenya does $1.8 Billion.
Inaweza onekana kama jambo la kawaida lakini ukizingatia yafuatayo utagundua kwamba watanzania kidogo mmelegea na hamtumii fursa zenyu kikamilifu:
1. 15% of Tanzania is arable while only 9% of Kenya is arable. Arable land ni shamba ya kilimo.
Ukizingatia kwamba Tanzania has a total landmass of 945 million sq. Km while Kenya only has 580 million utagundua kwamba Tanzania has almost three times the size of arable land that Kenya does.
2. Kenya receives an average annual rainfall of 600mm while Tanzania receives 900 mm. Hii inaweza onakena kutokuwa tofauti kubwa sana lakini on a national scale that is a huge difference.
3. Agricultural land in Kenya is more than 50 times more expensive compared to Tanzania. Ukilinganisha bei ya shamba ya ukulima yenye mvua, hapo Tanzania mnaweza mkanunua na $200 kule Morogoro wakati huku Kenya kule Nakuru ni $10,000 na kuendelea.
When it comes to semi-arid land niliona mtu hapa akiuza shamba kule Singada $30 kwa acre moja while kule Kajiado ni $4,000.
4. Both Tanzania and Kenya are strategically located with ports zenye access to Europe and Asia which makes up more than 70% of the world's middle- class kwa hivyo soko ziko tu.
5. 80% of Kenya is semi-arid while only 50% of Tanzania is.
6. Kenya exports $120 million worth avacadoes while Tanzania only does $15 million
Ninazingatia sana avocado kwa sababu in Kenya the major growing areas ni Kama Nyeri, Muranga, Nakuru, Kericho na kule shamba ni kwanzia $20,000 while nyinyi the major growing areas ni Mufindi, Njombe, Mbeya na kule acre moja ya shamba ni $100. Na tena kule mna mvua nyingi zaidi hadi 3000 mm.
There is absolutely no reason why Tanzania can't be the largest producer of avacadoes in the world.
Na kama mnavyojua in the world market avacado zina bei sana due to so much demand.
Na si Horticulture tu,hata kwa sekta ya beef Kenya exported $75 million while Tanzania only $5 million.
Yaani majirani hizo shamba mnazo za $30 haziwezi zikatumika to improve on this?
Nikiangalia landscapes za Tanzania na ukizingatia bei za shamba za beef farming, Tanzania has the same capability as South Africa. Kule hii sekta ni kubwa sana mfano Karan Feedlot located in Gauteng ina 200, 000 cattle na iliuzwa kwa $400 Million.
When I consider the potential na raslimali zenye Tanzania iko nazo, hizi taakwimu zilinishanga sana kwa nini Tanzania is underperforming in these sectors.
Your current horticultural exports is what Kenya used to do 20 years ago.
Kwenye kilimo mkulima wa Kenya akawekwa one on one verses wa Bongo, hawezi kumshinda ikikuja kwa cost of production.
Kwa hiyo, Wakulima wa Bongo mna kazi hapa.
Tanzania exports horticultural products(yaani vitu kama maua, matunda na mboga) worth $350 Million while Kenya does $1.8 Billion.
Inaweza onekana kama jambo la kawaida lakini ukizingatia yafuatayo utagundua kwamba watanzania kidogo mmelegea na hamtumii fursa zenyu kikamilifu:
1. 15% of Tanzania is arable while only 9% of Kenya is arable. Arable land ni shamba ya kilimo.
Ukizingatia kwamba Tanzania has a total landmass of 945 million sq. Km while Kenya only has 580 million utagundua kwamba Tanzania has almost three times the size of arable land that Kenya does.
2. Kenya receives an average annual rainfall of 600mm while Tanzania receives 900 mm. Hii inaweza onakena kutokuwa tofauti kubwa sana lakini on a national scale that is a huge difference.
3. Agricultural land in Kenya is more than 50 times more expensive compared to Tanzania. Ukilinganisha bei ya shamba ya ukulima yenye mvua, hapo Tanzania mnaweza mkanunua na $200 kule Morogoro wakati huku Kenya kule Nakuru ni $10,000 na kuendelea.
When it comes to semi-arid land niliona mtu hapa akiuza shamba kule Singada $30 kwa acre moja while kule Kajiado ni $4,000.
4. Both Tanzania and Kenya are strategically located with ports zenye access to Europe and Asia which makes up more than 70% of the world's middle- class kwa hivyo soko ziko tu.
5. 80% of Kenya is semi-arid while only 50% of Tanzania is.
6. Kenya exports $120 million worth avacadoes while Tanzania only does $15 million
Ninazingatia sana avocado kwa sababu in Kenya the major growing areas ni Kama Nyeri, Muranga, Nakuru, Kericho na kule shamba ni kwanzia $20,000 while nyinyi the major growing areas ni Mufindi, Njombe, Mbeya na kule acre moja ya shamba ni $100. Na tena kule mna mvua nyingi zaidi hadi 3000 mm.
There is absolutely no reason why Tanzania can't be the largest producer of avacadoes in the world.
Na kama mnavyojua in the world market avacado zina bei sana due to so much demand.
Na si Horticulture tu,hata kwa sekta ya beef Kenya exported $75 million while Tanzania only $5 million.
Yaani majirani hizo shamba mnazo za $30 haziwezi zikatumika to improve on this?
Nikiangalia landscapes za Tanzania na ukizingatia bei za shamba za beef farming, Tanzania has the same capability as South Africa. Kule hii sekta ni kubwa sana mfano Karan Feedlot located in Gauteng ina 200, 000 cattle na iliuzwa kwa $400 Million.
When I consider the potential na raslimali zenye Tanzania iko nazo, hizi taakwimu zilinishanga sana kwa nini Tanzania is underperforming in these sectors.
Your current horticultural exports is what Kenya used to do 20 years ago.
Kwenye kilimo mkulima wa Kenya akawekwa one on one verses wa Bongo, hawezi kumshinda ikikuja kwa cost of production.
Kwa hiyo, Wakulima wa Bongo mna kazi hapa.