Wakulima wa vanilla

nagod

Member
Joined
Nov 28, 2023
Posts
10
Reaction score
13
Habari,

Mimi ni mkulima wa vanilla nataka kukua sasa kwa kujenga greenhouse yangu kama m² 30/40. Hivyo nataka kujua ghalama za net kwa ambaye anajua anaweza kunielekeza na sehemu ya kuzipata na Kwa kipimo hicho nahtaji net ngapi jumla.
 
Upo wapi?
Kama upo Dar nenda Bliss Agro Inputs LTD.
Wapo Mwenge, Mikocheni Industrial Area, Coca Cola road.
Mita chache toka makutano/mataa ya Mwenge kuelekea Mikocheni.

Bei nimesahau sisi tulinunua mwaka mmoja umepita inaweza kuwa imebadilika.
Watafute mitandaoni utapata namba watakupa maelezo ya aina, ubora na bei ya wavu mbalimbali.

Kama upo Moshi au Arusha ulizia walipo Balton Arusha mjini.
 
Shukran sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…