Wakumaliza nae mwaka.

 
Duh kweli hii ni era ya mfumo jike...................
 
 
CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. .

Hapo ndipo patakaponishinda, siwezi kuacha kula uroda usiku wa mwaka mpya, mwaka mzima nitatembelewa na ukame wa K
 
Umepima ngoma? je ww mwenyewe una umri gani? Maana usijekuwa Bi Kidude.
 
Hahahahahahah nitakuletea from Abuja lmao!!
 
na wewe toa sifa zako maana duuuh!sio mchezo hiyo trip.ila naogopa kusema niko tayari maana yaweza kua wewe ni zombi buree unamalengo yako mengine.ila itakua bahati sana kwako ukipata company yangu
 
Weka picha yako hapa tukuone. Usije ukawa unatisha kama jidume ndio maana unataka waliokomaa.
Pia useme unapendelea style ipi? ili tuanze mazoezi mapema.
 
 
Hapo ndipo patakaponishinda, siwezi kuacha kula uroda usiku wa mwaka mpya, mwaka mzima nitatembelewa na ukame wa K
Haaa haaaaa mbavu zinavunjika sikutegemea kigezo hicho kinaweza kuengua mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…