Wakumaliza nae mwaka.

Ooh my god, sina la kusema.
 
Duh vigezo vyote hivyo unavyo??!!! Pls nasubiri contact coz naona mimi ndo mshindi vile!!!


Wala hata msihangaike naenda mwenyewe kujichukulia zabibu zangu taratibu najipanga maana najua kutakuwa na uchakachuaji usio na kipimo nami nitakuwa mshindi mwishoni. C u guyz
 
Wala hata msihangaike naenda mwenyewe kujichukulia zabibu zangu taratibu najipanga maana najua kutakuwa na uchakachuaji usio na kipimo nami nitakuwa mshindi mwishoni. C u guyz
Hee Dermto wewe, hujaona nataka mwanaume mweusi? Sitaki half mzungu kama wewe jamani aaah.
 

...BJ, :thumb: diary yangu imejaa mpaka baada ya Feb 14, 2011. Ila kwa atayebahatika offer hii, kila la kheri. You won't be disappointed kwa jinsi Mamushka alivyo mrembo na jinsi alivyojiandaa kusherehekea siku hizi.
 
...BJ, :thumb: diary yangu imejaa mpaka baada ya Feb 14, 2011. Ila kwa atayebahatika offer hii, kila la kheri. You won't be disappointed kwa jinsi Mamushka alivyo mrembo na jinsi alivyojiandaa kusherehekea siku hizi.
Haaa haaaaa jamani nyie mnanichekesha bwana, halafu deadline ni next week.
 
Nipo zaidi ya serious Mamushika!! Mi naona unanichelewesha ati kutangaza mshindi kama CCM!!!

Halafu sijui kwa nini moyo wangu unahisi kama utakua wewe, ngoja nikifunga mchakato, nitawaita wote then aliepita ntampatia Rose nyekundu. Si unajua hata tulivyopiga kura tulijua rais atakua nani? Dalili hizo zinaanza kujionyesha mshindi.
 
Hee Dermto wewe, hujaona nataka mwanaume mweusi? Sitaki half mzungu kama wewe jamani aaah.

Ubaguzi wa rangi huo umeanzisha ila angalia mama hakuna awali mbovu tumetoka mbali hao wanapita tupange maisha mapya acha kutafuta mabrokenihati ya mbagala.
Nakupenda bure tangu zamani
 
Hee Dermto wewe, hujaona nataka mwanaume mweusi? Sitaki half mzungu kama wewe jamani aaah.

Ubaguzi wa rangi huo umeanzisha ila angalia mama hakuna awali mbovu tumetoka mbali hao wanapita tupange maisha mapya acha kutafuta mabrokenihati ya mbagala.
Nakupenda bure tangu zamani

:music:.......... :director:
 
Ubaguzi wa rangi huo umeanzisha ila angalia mama hakuna awali mbovu tumetoka mbali hao wanapita tupange maisha mapya acha kutafuta mabrokenihati ya mbagala.
Nakupenda bure tangu zamani

Uwiiiii...... Mbavu zinatenguka Derimto, kwa mba nisitafute ma hati breka. Mbona mi naona smasher hatawezi ku breki mai hati? Siju kwa nini na muamini.
 
Uwiiiii...... Mbavu zinatenguka Derimto, kwa mba nisitafute ma hati breka. Mbona mi naona smasher hatawezi ku breki mai hati? Siju kwa nini na muamini.

Acha kushoboka mama Be strong huyo mbona anapita tu acha kumpa maujiko engenr.wa misonge. Halafua anataka kujichukulia ushindi wa haraka kama mkwere asubiri matokeo NILISHAKUPM UMEJIDAI KICHWA NGUMU UTALAL SEBULENI!!!!!!!! Shauri yako
 
Hapo umenena Mama! Pls jaribu kuuckliza Moyo wako unataka nini , nipo hapa kwa ajili yako!
Pls blv me i will make u more than happy kwenye hii trip, hutajutia kwa maamuzi yako!!

Halafu sijui kwa nini moyo wangu unahisi kama utakua wewe, ngoja nikifunga mchakato, nitawaita wote then aliepita ntampatia Rose nyekundu. Si unajua hata tulivyopiga kura tulijua rais atakua nani? Dalili hizo zinaanza kujionyesha mshindi.
 
Teh teh teh!! Watu wengine kwa wivu,sio kwamba anshoboka but huo ndo ukweli nina vigezo vyote anavyohitaji mtoto! Nikimkoleza trip hii nadhani atalala rum kwangu sio sebuleni tena!! Usikonde Mama mimi sio Engineer wa madesa 2 hata katika kazi!!

Acha kushoboka mama Be strong huyo mbona anapita tu acha kumpa maujiko engenr.wa misonge. Halafua anataka kujichukulia ushindi wa haraka kama mkwere asubiri matokeo NILISHAKUPM UMEJIDAI KICHWA NGUMU UTALAL SEBULENI!!!!!!!! Shauri yako
 
Teh teh teh!! Watu wengine kwa wivu,sio kwamba anshoboka but huo ndo ukweli nina vigezo vyote anavyohitaji mtoto! Nikimkoleza trip hii nadhani atalala rum kwangu sio sebuleni tena!! Usikonde Mama mimi sio Engineer wa madesa 2 hata katika kazi!!

Jamani naombeni mnisamehe kwa kutofuata kanuni na taratibu, na ahidi hakutakuwepo na kuchakachua haki itatendeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…