Wakumaliza nae mwaka.

Jamani naombeni mnisamehe kwa kutofuata kanuni na taratibu, na ahidi hakutakuwepo na kuchakachua haki itatendeka.

Eti mimi nina swali!

hivi uinjinia unahusikaje kitandani unataka? Au ndiyo unataka kutafuta ladha tofauti kwani zingine umeshamaliza? Haki ya nani nasikia wivu wa kumtwanga mtu njugu za makalio
 
Eti mimi nina swali!

hivi uinjinia unahusikaje kitandani unataka? Au ndiyo unataka kutafuta ladha tofauti kwani zingine umeshamaliza? Haki ya nani nasikia wivu wa kumtwanga mtu njugu za makalio
Injinia hausiki ki hivyo unavyo dhani bana, ila injinia ni mobile ni rahisi kwenda nae afu ni fundi ujue, kuna watu wengine yeye akiwa kazini au kwa shughuli zake humtoi.
 

Safari itakuwa lini? ni vizuri ukiandika tahere ili kujua kama kuna uwezekano wa ku-apply kama sitakuwa booked kwenye shughuli nyingine kama huyo ya kwako!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…