Wakunja ngumi wanaleta mapinduzi Tanzania polepole

Wakunja ngumi wanaleta mapinduzi Tanzania polepole

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tulishasema mwaka jana mwezi wa kwanza kwamba misimamo mikali itaingia kama demokrasia ikipuuzwa na yameanza kutimia. Kuna watanzania vijana wengi nje na ndani ya vyama hawapendwezi na mwenendo wa sasa wa upatikanaji wa viongozi kwa njia ya wizi wa kura, polisi na usalama wa taifa na wako tajari kurudisha nchi yao kwa wananchi

 
Sijui Wenje atawashawishi vipi wajumbe? Maana alisema yeyote ambaye siyo kiongozi ndani ya chadema ni mkunja ngumi tu.
 
Sijui Wenje atawashawishi vipi wajumbe? Maana alisema yeyote ambaye siyo kiongozi ndani ya chadema ni mkunja ngumi tu.
Wakunja ngumi mtuache pulizi. Mara tuitwe wabangaizaji. Mara nyumbu. Mara malofa. Dharau zote hizi za nini?

 
Back
Top Bottom