Wakurugenzi kugharamia watumishi waliomasomoni

Wakurugenzi kugharamia watumishi waliomasomoni

FORCE NAMBA

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
937
Reaction score
327
Wadau wa sheria msaada tafadhari.kuna huu utaratibu wa wakurugenzi kulipia gharama za masomo kwa watumishi walio makazini.Gharama za malipo zinatofautiana tofautiana kutoka Halmashauri Moja hadi nyingine.Kwa mfano watumishi wanaosoma ngazi ya digrii kila halmashaur inachangia ki vyake wapo wanaopewa 200000, 300000. Sasa sheria inasemaje kuhusu hili?
 
Ngoja nisubirie kusoma maoni ya wenzangu ili nipate ufahamu maana hata mie hapo ni mweupe sijui kuhusu hilo suala
 
Kwa hill Watumishwi wananyanyaswa sana Waajiri wao
 
Back
Top Bottom