Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.
Wewe mamatau umeelewa kinachosemwa au? Unaweza kufuata taratibu huku aliejuu asifanye taratibu zimpasavyo?
mkuu huyu mama tumsamehe tu mana hajui haya matatizo wanayopata walimu.
mkuu huyu mama tumsamehe tu mana hajui haya matatizo wanayopata walimu.
na sio uzushi ngoja wajifanye mazoba waone.watawalaghai kwa kusema kuwa walimu kutoka vyuoni ni wakorofi wamezoea migomo, wale ni wa kuwaendea kama unatoka boko haramu vile.waraka unapatikana ofisi ya utumishi,cwt, shuleni na kwa afisaelimu.lkn hawa wawili utumishi na afisaelimu ni ngumu kukupa lao moja.kaeni mtambue huo waraka ni haki yenu kuupata huwezi amini hawa watu wanakula mamilioni ya hela za walimu wanaoripoti
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.
Wakuu nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba huu ndio wakati wa zile hela za walimu za kujikimu ,nauli na hela za mizigo kuchakachuliwa.
Ushauri wangu kwenu walimu wapya ni kuwa makini na kutafuta waraka wa serikali kwenda kwa wakurugenzi hao unao onyesha malipo mnayostahili kupata kila mwalimu.
Walimu muache kuwa waoga, taaluma mmesomea na mmefuzu hivyo kamwe msikubali vitisho wa wakurugenzi hao.
Mwaka jana mwezi wa nne wametoa waraka mpya kwa marekebisho ya waraka uliopita.fedha za kujikimu ni siku saba inategemea na kiwango cha elimu degree kwa jiji ni 85000,manispaa 65000,halmashauri 45000.pesa ya njiani [on transit sh.35000 kwa safari ya masaa zaidi ya 6.kama una mke,mtoto zaidi ya miaka 3 au mume muwe na cheti cha ndoa na mtoto analipwa nusu ya fedha ya kujikimu ya mwajiriwa kwa siku saba.mizigo ni km ulizotoka times tan 3 times 1000 yani kila km 1 ni sh.1000 ni sawa na 3000 times km ulizotoka hakikisha unapata waraka kabla ya kuripoti nenda hlmashauri yoyote uliyopo utapewa
Mkuu asante sana J3 ntaenda cwt makao makuu wanipatie ili nianze kujipigia hesabu mapemaa maana wengne tumesoma vyuo vinavyosemekana migomo imetamalaki,mkuu mie graduate
na sio uzushi ngoja wajifanye mazoba waone.watawalaghai kwa kusema kuwa walimu kutoka vyuoni ni wakorofi wamezoea migomo, wale ni wa kuwaendea kama unatoka boko haramu vile.waraka unapatikana ofisi ya utumishi,cwt, shuleni na kwa afisaelimu.lkn hawa wawili utumishi na afisaelimu ni ngumu kukupa lao moja.kaeni mtambue huo waraka ni haki yenu kuupata huwezi amini hawa watu wanakula mamilioni ya hela za walimu wanaoripoti
mkuu tutafutane twende pale cwt kupata huo waraka hakuna cha mkoba wala makoba mwaka huu wataelewa tu.
Kuna mdogo wangu yupo village inabidi tupate huu waraka nae wasije wakamchakachua posho zake.
Ni tabia mbaya sana ku-generalize vitu kama alivyofanya hivi vitu, zaidi ni kutaka kujenga chuki kwa wakurugenzi kitu ambacho kitasababisha hawa walimu wafundishe kwa tension na pengine kusababisha kudorora kwa elimu kwa sababu walimu wapya wataamini wanaonewa kitu ambacho si kwa kweli kwa baadhi yao.
Nijuanvyo mimi kuna walaka ambao unaeleza kuwa mtumishi anayeanza kazi atalipwa substance allowance ya siku 14 habari ya mizigo ilishafutwa kwa sababu itakuwa ni njia nyingine ya kumdhurumu mtanzania kwani mwalimu anayeanza kazi akitokea chuoni hatutegemea atakuwa na mizigo ya tani 3 ambayo ndio atataka alipwe pesa kama nauli ya kusafirishia mizigo hiyo toka place of domicide. Acha kuwapotosha wenzio standing order ipo kwa ajili ya kuwaongoza inapatikana huko halmashauri mtakapo report!
Acha kuwapotosha watanzania ndugu.
We ndo mpotoshaji mkubwa humu waraka umeusoma au ndo wale wanaoupata na kuweka mezani anafanya kazi kwa uzoefu .kwanza waraka huo usemao wewe ni upi sababu uliotoka mwaka jana mwezi wa nne umebadilishwa badala ya tani 5 kwa degree wameweka tani 3 na diploma ilikuwa tan 3 wameweka level sawa tani 3 kwa wote na ndio tulivyolipwa sisi na fedha za kujikimu si siku 14 tena ni siku 7.ufinyo wa kufikiri eti hutegemei wanaotoka chuoni hawawezi kuwa na mizigo kumauka kuna watu tayari wanakwenda chuoni na familia zao na wengine walikuwa wanafanya private wamejiendeleza na wengine wameoa na kuolewa wakiwa chuoni kumbuka siku hizi mtu yupo chuoni lakini anafanya kazi nyingine mtaani we ndio bingwa wa kugeneralize. jamani vijana njooni tuchape kazi na tujikomboe msisubiri cwt wale imebaki story tu wazee huku wanatuangusha uwezo tunao ,nia tumeonewa tumechoka hakuna kulishwa unga wa ndere na hawa wakina bi kirembwe.halimashauri zote zimeoza eti mtu unaomba waraka unaambiwa ni siri na huku umeandikwa uwafikie walengwa waajiri na waajiriwa.wanajf kazi kwenu kupima kama nadanganya au huyu ndo anadanganya.