Wakurugenzi wa halmashauri wajiandaa kuchakachua hela za walimu.


Mkuu msamehe tu huyu hana analojua ni KILAZA tu.
Usikute huyu ni mmoja wa wanaokula hela zetu.

Eti mwajiriwa kutoka chuo hana mizigo yani huyu jamaa mwehu haswaa mimi nilipokua 4m 6 leaver tu nilipiga tempo na kufanikiwa kununua kila kitu cha ndani mizigo ambayo kusafirisha lazima nikodi canter.
 
Wadau mie pia nina safari ya kwenda Cwt, jumatatu! Anayetaka kujiunga nami in nsha Allah namkaribisha aniPM..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…