Wakurya na Kikurya

Wakurya na Kikurya

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,186
Reaction score
7,184
Habari

Kama ningeriweza kuandika kikurya basi mwanzo hadi mwisho ningeongea Lugha ya kure kwetu nchini(kanda maarum)
Ila hili jambo ndo hasa rimenifanya niandike uzi huu.

Wengine hatuku bahatika kuwa karibu sana na watu kutufundisha lugha yetu. Kutokana na sababu mbalimbali, tumekuwa wazungumza kiswahili wazuri.

Hebu tufunishane Lugha yetu ,, najua watu wa type yangu wapo wengi mm mifungka hebu karibuni

Nb: Nimemix R&L makusudii
 
Muraa, bhaghaka na bhakari, bhamura na bhaiseke , mutacho tughambane, merengo ngututuna ale.
 
Sasa wakuuu mnashusha code tu, tufundishanee
 
Nimegundua jf imejaa wakurya..

Unajua maana ya nyumba ntobhu @ marengo?
 
Amang'ana mura.........

amachumu kib......u........
 
Mura obhasani kigahacha wabho umuya aghatemora etarabha kibhina araringa wabho nyankomo china ubhosongo kisumancha na abhaiya nyamogondo ghona esemi.
 
Back
Top Bottom