Wakusanya taka Ubungo Kibangu watoza elfu 3 kwa kila chumba

Wakusanya taka Ubungo Kibangu watoza elfu 3 kwa kila chumba

MtoMsimbazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2009
Posts
1,800
Reaction score
3,091
Kwa hali ya kushangaza nilimtembea rafiki yangu maeneo ya Ubungo Kibangu, wakati tunapiga story tukasikia mtu anagonga mlango, rafiki yangu wa muda mrefu tangu tupo A-level akafungua mlango ili atambue nani anabisha, alipofungua alikuwa mama wa makamo akiwa anakusanya hela za kuzolea taka, chakushangaza alimwambia atoe elfu 3, akaanza kuhoji kwakuwa yule rafiki hana familia wala hakuna anaeshinda mle kwenye chumba chake, na huwa hapiki kabisa hivyo hata taka zenyewe hazalishi na chumba chake ni self, ilifikia hatua alikataa kutoa kabisa mpka apate maelezo lkn yule mama alikataa akasema mpk apewe elfu 3 yake ndio aondoke.

Jamaa kwa kuepusha usumbufu akaona isiwe shida akampatia na kuondoka, ila hii hali si ya kawaida kwakweli haiwezekani nyumba yenye vyumba 7 na wote bachela mama anakusanya elfu 3 yake, na mbaya zaidi baada ya kupeleleza hawazifikishi kunakohusika kwakuwa kisheria wanatakiwa kukusanya hela kwa kila nyumba na kila chumba, imefikia sehemu inakuwa kero kwakuwa siku za Jumapili au mapumziko wanakuja saa 12 asubuhi kugonga milango wakiwa wanafuatilia kumbe hizo hela wanapiga huku wananchi wakiwa na barabara mbovu za mitaani kuzunguka maeneo mengi barabara zinakuwa makorogoi mvua ikinyesha na baada ya muda wanapitisha greda halafu habari imekwisha.

Tangu kipindi cha kabla chadema hawalichukua jimbo, wakapita na sasa limerudi ccm, wanachojivunia na ile barabara moja ya lami aliohimiza marehemu mhe. JPM, barabara nyingine ni makorogo tupu mvua zikinyesha.WEZI KWELI KWELI
 
Alipewa risiti ya ii-efu-dii? Maana kuepusha shari unamwambia akuchoree risiti ya efd ili ukaulize jiji kuhusu huo utaratibu. Utaona atakavokunja kona ya fasta.
Wengi wao hua wanajitetea kua mashine ni mbov, hapo hua nawaambia wakija na mashine waje kuchukua hela
 
Andika vizuri basi daah, weka hata aya na alama za uandishi za mchongo.

Enewei kama kalipa haina shida, mi nilipokuwa nakaa ilikuwa ni buku kila chumba na vyumba vilikuwa 7.
 
Risiti uliyopewa Inaonesha Tsh ngapi?

Ova
 
Kwa hali ya kushanganza nilimtembea rafiki yangu maeneo ya ubungo kibangu, wakati tunapiga story tukasikia mtu anagonga mlango, rafiki yangu wa muda mrefu tangu tupo A-level akafungua mlango ili atambue nani anabisha, alipofungua alikua mama wa makamo akiwa anakusanya hela za kuzolea taka, chakushangaza alimwambia atoe elfu 3, akaanza kuhoji kwakua yule rafiki naha familia wala hakuna anaeshinda mle kwenye chumba chake, na hua hapiki kabisa hivyo hata taka zenyewe hazalishi na chumba chake ni self, ilifikia hatua alikataa kutoa kabisa mpka apate maelezo lkn yule mama alikataa akasema mpk apewe elfu 3 yake ndio aondoke, jamaa kwa kuepusha usumbufu akaona isiwe shida akampatia na kuondoka, ila hii hali siya kawaida kwakweli haiwezekani nyumba yenye vyumba 7 na wote bachela mama anakusanya elfu 3 yake, na mbaya zaidi baada yakupeleleza hawazifikishi kunakohusika kwakua kisheria wanatakiwa kukusanya hela kwa kila nyumba na kila chumba, imefikia sehemu inakua kero kwakua siku za jumapili au mapumziko wanakuja saa 12 asubuhi kugonga milango wakiwa wanafuatilia kumbe hizo hela wanapiga huku wananchi wakiwa na barabara mbovu za mitaani kuzunguka maeneo mengi barabara zinakua makorogoi mvua ikinyesha na baada ya muda wanapitisha greda halafu habari imekwisha, tangu kipindi cha kabla chadema hawalichukua jimbo, wakapita na sasa limerudi ccm, wanachojivunia na ile barabara moja ya lami aliohimiza marehemu mhe. JPM, barabara nyingine ni makorogo tupu mvua zikinyesha.WEZI KWELI KWELI
Acha unafiki usiokuwa na tija.Hayo ni makubaliano ya Mtaa wenu na Mzoa taka kuwa kila kaya ichangie hivyo sasa kuishi chumba kimoja au ghorofa haijalishi kikubwa ni kaya . Wazoa taka wameingia Mkataba na Mtaa wala hawahusiki na ujenzi wa barabara. Mkiambiwa nendeni kwenye vikao vya serikali za Mtaa hamtaki wenzenu wamepitisha hoja Mnalalamika wakati ungehuzuria kwenye kikao inawezekana kabisa gharama ingekuwa ndogo kabisa. Sasa Makusanya taka kapewa tenda ya kuzoa taka na kukusanya ada ya taka na Mtaa wenu pambana.
 
Hayo mambo yapo sana.

Cha kushangaza wazawa wenyeji hawachajiwi.. ila wapangaji sasa tunakomaliwa mbaya
 
Kwa hali ya kushanganza nilimtembea rafiki yangu maeneo ya ubungo kibangu, wakati tunapiga story tukasikia mtu anagonga mlango, rafiki yangu wa muda mrefu tangu tupo A-level akafungua mlango ili atambue nani anabisha, alipofungua alikua mama wa makamo akiwa anakusanya hela za kuzolea taka, chakushangaza alimwambia atoe elfu 3, akaanza kuhoji kwakua yule rafiki naha familia wala hakuna anaeshinda mle kwenye chumba chake, na hua hapiki kabisa hivyo hata taka zenyewe hazalishi na chumba chake ni self, ilifikia hatua alikataa kutoa kabisa mpka apate maelezo lkn yule mama alikataa akasema mpk apewe elfu 3 yake ndio aondoke, jamaa kwa kuepusha usumbufu akaona isiwe shida akampatia na kuondoka, ila hii hali siya kawaida kwakweli haiwezekani nyumba yenye vyumba 7 na wote bachela mama anakusanya elfu 3 yake, na mbaya zaidi baada yakupeleleza hawazifikishi kunakohusika kwakua kisheria wanatakiwa kukusanya hela kwa kila nyumba na kila chumba, imefikia sehemu inakua kero kwakua siku za jumapili au mapumziko wanakuja saa 12 asubuhi kugonga milango wakiwa wanafuatilia kumbe hizo hela wanapiga huku wananchi wakiwa na barabara mbovu za mitaani kuzunguka maeneo mengi barabara zinakua makorogoi mvua ikinyesha na baada ya muda wanapitisha greda halafu habari imekwisha, tangu kipindi cha kabla chadema hawalichukua jimbo, wakapita na sasa limerudi ccm, wanachojivunia na ile barabara moja ya lami aliohimiza marehemu mhe. JPM, barabara nyingine ni makorogo tupu mvua zikinyesha.WEZI KWELI KWELI
Hakuna wiz we ndio mgeni hapo tena wao ni nafuu wengine ni elfu tano kwenye mabar mpak 15. Kila mtu anaezalisha taka anatakiwa atoe ada ya taka hiyo ni sheria ya halmashaur ya jij ukikaid unaenda mahakaman adhabu yake hutoki mpaka laki na nusu tii sheria
 
Uzalishaji wa taka bar na bachela ni vitu 2 tofauti...kwahio elfu 15 inategemea uwingi wa taka
Hakuna wiz we ndio mgeni hapo tena wao ni nafuu wengine ni elfu tano kwenye mabar mpak 15. Kila mtu anaezalisha taka anatakiwa atoe ada ya taka hiyo ni sheria ya halmashaur ya jij ukikaid unaenda mahakaman adhabu yake hutoki mpaka laki na nusu tii sheri
 
Kwa hali ya kushangaza nilimtembea rafiki yangu maeneo ya Ubungo Kibangu, wakati tunapiga story tukasikia mtu anagonga mlango, rafiki yangu wa muda mrefu tangu tupo A-level akafungua mlango ili atambue nani anabisha, alipofungua alikuwa mama wa makamo akiwa anakusanya hela za kuzolea taka, chakushangaza alimwambia atoe elfu 3, akaanza kuhoji kwakuwa yule rafiki hana familia wala hakuna anaeshinda mle kwenye chumba chake, na huwa hapiki kabisa hivyo hata taka zenyewe hazalishi na chumba chake ni self, ilifikia hatua alikataa kutoa kabisa mpka apate maelezo lkn yule mama alikataa akasema mpk apewe elfu 3 yake ndio aondoke.

Jamaa kwa kuepusha usumbufu akaona isiwe shida akampatia na kuondoka, ila hii hali si ya kawaida kwakweli haiwezekani nyumba yenye vyumba 7 na wote bachela mama anakusanya elfu 3 yake, na mbaya zaidi baada ya kupeleleza hawazifikishi kunakohusika kwakuwa kisheria wanatakiwa kukusanya hela kwa kila nyumba na kila chumba, imefikia sehemu inakuwa kero kwakuwa siku za Jumapili au mapumziko wanakuja saa 12 asubuhi kugonga milango wakiwa wanafuatilia kumbe hizo hela wanapiga huku wananchi wakiwa na barabara mbovu za mitaani kuzunguka maeneo mengi barabara zinakuwa makorogoi mvua ikinyesha na baada ya muda wanapitisha greda halafu habari imekwisha.

Tangu kipindi cha kabla chadema hawalichukua jimbo, wakapita na sasa limerudi ccm, wanachojivunia na ile barabara moja ya lami aliohimiza marehemu mhe. JPM, barabara nyingine ni makorogo tupu mvua zikinyesha.WEZI KWELI KWELI
Posta ni elf 15🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hali ya kushangaza nilimtembea rafiki yangu maeneo ya Ubungo Kibangu, wakati tunapiga story tukasikia mtu anagonga mlango, rafiki yangu wa muda mrefu tangu tupo A-level akafungua mlango ili atambue nani anabisha, alipofungua alikuwa mama wa makamo akiwa anakusanya hela za kuzolea taka, chakushangaza alimwambia atoe elfu 3, akaanza kuhoji kwakuwa yule rafiki hana familia wala hakuna anaeshinda mle kwenye chumba chake, na huwa hapiki kabisa hivyo hata taka zenyewe hazalishi na chumba chake ni self, ilifikia hatua alikataa kutoa kabisa mpka apate maelezo lkn yule mama alikataa akasema mpk apewe elfu 3 yake ndio aondoke.

Jamaa kwa kuepusha usumbufu akaona isiwe shida akampatia na kuondoka, ila hii hali si ya kawaida kwakweli haiwezekani nyumba yenye vyumba 7 na wote bachela mama anakusanya elfu 3 yake, na mbaya zaidi baada ya kupeleleza hawazifikishi kunakohusika kwakuwa kisheria wanatakiwa kukusanya hela kwa kila nyumba na kila chumba, imefikia sehemu inakuwa kero kwakuwa siku za Jumapili au mapumziko wanakuja saa 12 asubuhi kugonga milango wakiwa wanafuatilia kumbe hizo hela wanapiga huku wananchi wakiwa na barabara mbovu za mitaani kuzunguka maeneo mengi barabara zinakuwa makorogoi mvua ikinyesha na baada ya muda wanapitisha greda halafu habari imekwisha.

Tangu kipindi cha kabla chadema hawalichukua jimbo, wakapita na sasa limerudi ccm, wanachojivunia na ile barabara moja ya lami aliohimiza marehemu mhe. JPM, barabara nyingine ni makorogo tupu mvua zikinyesha.WEZI KWELI KWELI
Kama fedha zinazotozwa zinaenda sehemu husika na huduma inatolewa vizuri basi ni sharti kila mkazi kulipia huduma. Haijalishi unakaa kwenye chumba au hukai, haijalishi unapika au hupiki, kinachoangaliwa ni chumba kina mkazi!
 
Taka hawachukui kwa muda. Gari linapita likijisikia. Kama ukiwa haupo inakula kwako.
Ila hela lazima wadai kila mwezi utoe taka ama usitoe hela lazima
We wakija kuchukua hela waambie hela hii hapa lakin mpaka mchukue taka wakikupeleka kokote hata mahakaman waoneshe picha kua taka hawajabena wanataka hela simple tu
 
Back
Top Bottom