abdul kadir faraji
New Member
- Mar 16, 2019
- 2
- 0
Karikoo kume kuwa na kero kubwa sn kwa wakazi wanaishi karikoo gharama zimekua ni kubwa kuliko kipato kinacho patikana leo ntazungumzia suala la paking ukimiliki gari mjini huwezi kukaa nayo kwa mtu wa kawaida labda ukubali ww uishi karikoo gar upaki magomeni gari zenyewe za mikopo ukimilik gari mjini baasi uandae kila cku elfu 5000 kwaajil ya paking peke yake mshahara wenyewe laki 5 kwa mwezi yaani serekali ilitakiwa ifikirie raia wanaishi karikoo kwanza kabla ya kuweka viwango vyao ukurukupwaji mkubwa na uonevu mkubwa unafanywa asanteni..!