abdul kadir faraji
New Member
- Mar 16, 2019
- 2
- 0
Anachozungumzia ni gharama kubwa Mkuu sio kwamba hataki kulipa ulimsikia Mzee baba akidai hela za kuwalipa Wananchi kupisha mradi wa bagamoyo walilipana wajanja wa mjini sio hela zote zinajenga bara bara zingine zipo katika fungu la kupigwa huku wachache wakikamuliwa...Tukumbuke kuwa hatana kiwanda cha kutengeneza fedha, ili wewe upate mshahara, ujenzi wa miundo mbinu pia..it's your money doing all this..
Aah achna nao haoo cauz haoo ndo wale walaji wa pesa znapo patikana lazima watete matumbo yaoo hiyoo miundo mbinu inatekelezwa kwa hela ya parkng yaan gari inalupiwa mshaahara wa mtu halafu watu wanaunga mkono kodi kandamiz.....!Anachozungumzia ni gharama kubwa Mkuu sio kwamba hataki kulipa ulimsikia Mzee baba akidai hela za kuwalipa Wananchi kupisha mradi wa bagamoyo walilipana wajanja wa mjini sio hela zote zinajenga bara bara zingine zipo katika fungu la kupigwa huku wachache wakikamuliwa...