francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
kama kichwa kinavojieleza apo juu mim ni muhehe sifa yetu tunaambiwaga tuna kula madogi ila mimi sijawah kula aiseee.
sifa ya pili ni kwamba hatunaga shida pindi tunapokuwa tunashida tunajifanyaga hatunaga shida kabisa ....... embu tupen na sifa zingine za makabila yenu kwa mafano wabena ,wasafwa ,wanyakyusa.. nk ivi ni kwel niliwah skia wakinga walikula mzungu wakizan nguruwe,, eb tujuzane jamn
sifa ya pili ni kwamba hatunaga shida pindi tunapokuwa tunashida tunajifanyaga hatunaga shida kabisa ....... embu tupen na sifa zingine za makabila yenu kwa mafano wabena ,wasafwa ,wanyakyusa.. nk ivi ni kwel niliwah skia wakinga walikula mzungu wakizan nguruwe,, eb tujuzane jamn