007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 483
Karibu kidogo! Usivue viatu kidogo!
Mkuu asante sana kidogo vipi habari ya humu ndani kidogo?
athanteni sana viongozi wangu! halafu kuna hi kitu inatajwatajwa sana humu eti pm mara mtu anataka um-pm sa sijui ndo kumfanyaje?wakuu msaada tafadhari
Ndo ku -pm