Wakuu hii ni fursa ya kupiga pesa au mimi ndo fursa yenyewe?

Watakupeleka polepole tu. Watakulipa hizi buku tano au 10K kama chambo. Ila Itafika mahali ili kuweza kupokea malipo yako kamili itakulazimu utoe transfer fee ya kama laki moja hivi au zaidi. Na hapo ndiyo watakuwa wamemalizana na wewe na hutawasikia tena!

Ama watakufanyisha hiyo mikazi yao na mwisho watasepa...

Hitimisho: Wewe ndiyo fursa!
 
Mzee nili kuuliza kama una vitabu vya Alex rider??
 
Wakuu hii ni fursa ya kupiga pesa au mimi ndo fursa yenyewe?

View attachment 3202375
Kwa sasa msikilize anachokwambia mkubalie

Atakupeleka telegram kwenye group lao kuna vitask utavifanya vifanye

Utalipwa kwa mara ya kwanza

Fanya task unaweza kulipwa tena mara ya pili bila kutoa chochote

Ukifikia muda wa kulipie ili upewe pesa nyingi kimbia

Nakwambia kimbia
 
Mzee nili kuuliza kama una vitabu vya Alex rider??
Sina ndugu yangu. Na wala sijawahi kumsikia huyo mwandishi. Ukiingia kwenye tovuti hizi za vitabu vya bure bila shaka utaweza kuvipata 👇👇👇🙏🏿

Tovuti za kupakua Vitabu bure

1. www.pdfdrive.net
2. www.b-ok.org
3. www.4shared.com
4. www.bookboon.com
5. www.worldreader.org
6. www.bookfi.net
8. www.ebookee.org
9. www.sharebookfree.com
10. m.freebooks.com
11. www.obooko.com
12. www.manybooks.net
13. www.epubbud.com
14. www.bookyards.com
15. www.getfreeebooks.com
16. www.freecomputerbooks.com
17. www.essays.se
18. www.sparknotes.com
19. www.oceanofpdf.com
20. www.globalgrey.com
 
Una account ya linkedin na ina connection kuanzia 1+ na kuendela na kuendelea

Na iwe na mda kuanzia mwaka 1 na kuendelea

Kuna boss anahitaji umkodishie atakulipa kila wiki kuanzia dola 8-150 na kuendelea kulingana na account utakayokuwa nayo

Njoo inbox ukiwa tayari
 
Nili kuwa nahitaji hard copy, jina la kitabu ni alex rider ila mwandishi ni Anthony Horowitz.
 
Allah kumbe
asante mkuu kwa angalizo
 
🤔??
na hii je ni fursa au la wakuu?
mbona hii Januari inaanza kuwa ngumu hivi
 
Heee anaifanyia nini account yenye jina langu, hapa mjini mambo ni mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…