Wakuu hivi vibwagizo vinapatikana wapi?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Naweza download wapi hivi vibwagizo.
1. No noo, huku anacheka.
2. Usifanye hivyoooo!
3. Nauli amepewa yeye, ukorofi!
4. Kwani nini?
5. Visound vya Uhuru Kenyata.
6. Kile Magufuli alichoshindwa kusema entreneurship.
7. Soma hiyo!
8. Mwamba huyu hapa!
 
Naweza download wapi hivi vibwagizo.
1. No noo huku anacheka
2. Usifanye hivyoooo
3. Nauli amepewa yeye ukorofi
4. Kwani Nini
5. Visound vya uhuru kenyata
6. Kile Magufuli alichoshindwa kusema entreneurship
7. Soma hiyo
Humu humu mitandaoni Mkuu...
Hiyo ndio nguvu ya Social networking...
 
Naweza download wapi hivi vibwagizo.
1. No noo huku anacheka
2. Usifanye hivyoooo
3. Nauli amepewa yeye ukorofi
4. Kwani Nini
5. Visound vya uhuru kenyata
6. Kile Magufuli alichoshindwa kusema entreneurship
7. Soma hiyo
Ja
Naweza download wapi hivi vibwagizo.
1. No noo huku anacheka
2. Usifanye hivyoooo
3. Nauli amepewa yeye ukorofi
4. Kwani Nini
5. Visound vya uhuru kenyata
6. Kile Magufuli alichoshindwa kusema entreneurship
7. Soma hiyo
We ni kichaa tena mbwa koko
 
Humu humu mitandaoni Mkuu...
Hiyo ndio nguvu ya Social networking...
Mtandaoni naviona sana nataka nividownload niwe navyo kwenye simu maana vinanifurahisha sana na kuniondolea stress
 
Mkuu tafuta vitu vinavyoweza kuwa na MATOKEO chanya kwenye Maisha yako.

Tafuta vithabu MAARIFA na UIFUNZE zaidi na zaidi.
Hayo ma ucheshi hayawezi kusaidia chochote.
 
Mkuu tafuta vitu vinavyoweza kuwa na MATOKEO chanya kwenye Maisha yako.

Tafuta vithabu MAARIFA na UIFUNZE zaidi na zaidi.
Hayo ma ucheshi hayawezi kusaidia chochote.
Mkuu unaongea Nini? Vithabu ndio kitu Gani?
 
Uvivu kutokupenda kufanya kazi. Ukitaka kuondoa stress uwe unajishughulisha hata kwa kulima kabustani kambogamboga hapo uwani Kwa shemeji Yako.
Nashukuru Kwa ushauri tatizo ni Kuwa shemeji anaishi kwenye apartment palm village Hana eneo la bustani.
 
Mkuu tafuta vitu vinavyoweza kuwa na MATOKEO chanya kwenye Maisha yako.

Tafuta vithabu MAARIFA na UIFUNZE zaidi na zaidi.
Hayo ma ucheshi hayawezi kusaidia chochote.
sio muda wote mavitabu, kila mtu anakituchake anachokipenda kinachomuondolea stress
 
Nashukuru Kwa ushauri tatizo ni Kuwa shemeji anaishi kwenye apartment palm village Hana eneo la bustani.
Humu ndani watu mna vituko Sana. Ebu faster pitia hapo kwa Mangi uagizie chochote nitapitia kulipa baadaye na range yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…