wakuu!!! hodi

wakuu!!! hodi

Ivi Nani aliwaambia kua mkikaribishwa ndio mnapewa ushirikiano , jf hua hakuna ubaguzi , lolote utakalo andika watu watakupa ushirikiano

Kwa hiyo sio lazima kukaribishwa we ingia kimya kimya tu
 
Ni vizuri pia kuweka address yako maana ni muhimu bila kusahau picha, karibu
 
Back
Top Bottom