wakuu!!! hodi

Ivi Nani aliwaambia kua mkikaribishwa ndio mnapewa ushirikiano , jf hua hakuna ubaguzi , lolote utakalo andika watu watakupa ushirikiano

Kwa hiyo sio lazima kukaribishwa we ingia kimya kimya tu
 
Mkuu kuna admin hapo juu amekutaka uweke picha yako na namba ya simu kwa uhakikisho wakuwepo kwako zaidi.

Huyo ndo ameidhinisha ombi lako la kujiunga humu..
hahaha sawa mkuu
 
Ni vizuri pia kuweka address yako maana ni muhimu bila kusahau picha, karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…