Wakuu kumbe unaweza kupika mchele bila kuuosha, Kwa nini wakinamama/dada huwa wanacomplicate sana poshi la ubwabwa?

Wakuu kumbe unaweza kupika mchele bila kuuosha, Kwa nini wakinamama/dada huwa wanacomplicate sana poshi la ubwabwa?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
sijui kama nimevumbua au huwa ipi ila nimejaribu imekubalika.

Nimefika home nimechoka, na sikuwa na wakunipikia na siwezi kula mabarabarani.

nikachukua sufuria nikamwaga mchele mkavu, nikaweka chumvi, maji na mafuta. nikafunika nikawasha gesi nikaenda kuoga kurudi ubwabwa umesimama balaa.


Wakinamama/Dada
Kwa nini huwa mnapika ubwabwa kwa kujitesa sana???
 
Mkuu inategemea mchele wenyewe wa aina gani, Sasa mchele wenyewe umenunua buguruni kwa mbonde uko full vumbi na changalawe upike bila kuuchekecha???
 
Mkuu inategemea mchele wenyewe wa aina gani, Sasa mchele wenyewe umenunua buguruni kwa mbonde uko full vumbi na changalawe upike bila kuuchekecha???
mkuu ule ni vita. unahitaji skills za wakina wamama wa uswazi
 
Back
Top Bottom