ahahahahahhaCha kushangaza wamkoani ndio unafuatilia habari kama hizi hapa. Huna tofauti yoyote na Hawa SHILAWADU
Huyo Stereo ndio yupi kwenye Hiyo picha?!
Nakumbuka stereo ndio alimtambulisha chemical katika game, nakumbuka alikua anampeleka katika fm radio kumtambulishaStereo msomi kutoka chuo kikuu ardhi kama sijakosea
Mchezaji mpya wa Simba Sport kutoka Zaire.Huyo stereo ndo nani?nipo chato mpakani na biharamuro nataka kumjua ni mbunge au Dc?
Tupac alikuwa hamaanishi girlfriend msichana but alikuwa ana maanisha mguu wa kuku(gun) [emoji30] [emoji30]Hip hop haif hvo mkuu, ata wakina pack na other walikuwa na feelings zikawafanya kuandika hits
2pac - me n my gf
Word play.......mang'ombe ndivyo mlivyo,matawi msiyoweza kufika mnajitia kudiss kujifariji!...ona pigo zako,kujifanya nawe 'mnyamwezi' na yai lako viza!
...teh hee hee
Ukonga ni sehemu na pia hiyo sehemu kuna gereza. Mfano mtu akisema yupo anakaa lumumbaa na ukauliza lumumba anafanya kazi ccmUkonga kafungwa?
Ukonga ni sehemu na pia hiyo sehemu kuna gereza. Mfano mtu akisema yupo anakaa lumumbaa na ukauliza lumumba anafanya kazi ccm