Kumbe "unaweza kuta". Still it's not assurance. Hadi sasa hujaweza toa bure.
KumbeNakuonya:
jf sio mahala salama kufungua moyo mkuu. Penda uliempenda partially tu.
Y.C.T.I.O.L.I
Sura ya baba inafichwa kwa nguvu zote
Mtaje na mimi awe rafiki yangu jamani. Atanifaa sana siku ya leo anilipie Dstv tu japo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mpenzi kasema hataki kunitongoza ananipenda tuAchana kabisa na Mzigua90 wangu yaani hata kumfikiria naweza kukuroga upate busha milele.
Ntaweka sikio na tushavu one dayNimeona hiyo picha nikabaki kutabasamu tu hutaki tuone sikio au hata shavu [emoji12][emoji12][emoji12]
Crush ni mtu ambaye unampenda au una hisia fulani fulani kwake lakini ni ngumu kuwa naye kwenye mahusiano kwa sababu mbalimbali..π hebu kwanza nijuze crush maana yake nini nsije kuwa nimeelewa tofauti mie std7 liver
Basi mwambie anilipie wifi yako king'amuzi tu japoHahhahahha jaman naogopa atanichapa
Basi mwambie anilipie wifi yako king'amuzi tu japo
Utatishaje sasa yani...Ngoja nimchek tsap maana yupo Ghana
Utatishaje sasa yani...
Hivi na mimi nikipenda wewe nitakua nimekosea kweli Demiss.?Hutokea sana tu nakwambia bora umefunguka kuliko kuumia moyoni mm mwenyewe nampenda mtu chake.
π π πHahaha nataka niwe mchepuko tu madanga ukiwa nayo hata 20 siyo mbaya unayaomba yote elf 50Γ10 =....
anhaa hapo nimeelewa sasa kumbe sikukosea...Crush ni mtu ambaye unampenda au una hisia fulani fulani kwake lakini ni ngumu kuwa naye kwenye mahusiano kwa sababu mbalimbali..
Mfano,si unamjua Beyonce??..naweza kusema ni crush wangu..maana kwanza yupo marekani na mimi nipo namtumbo huku,tutakutana wapi??,labda itokee tu miujiza
Niandikie jina la wimbo niutafute mwenyewe..anhaa hapo nimeelewa sasa kumbe sikukosea...
ningeweza kuapload kamziki ningekuwekea mwaya hapa uburudike
we mzee acha dharau, hesghima kitu cha bureSawa mama, umeeleweka mubashara!
Hapa nilipo kuna mtu huwa nampa buree kabisaa bila hata kumuomba chochote hata asiponipa nauli
Watu na bahati zao. Jamaa linegegeda kwa raha zake halafu Demiss huyoooo anachukua TZ 11 huku roho yake ikiwa nyeupe kabisa [emoji41]
Hivi na mimi nikipenda wewe nitakua nimekosea kweli Demiss.?
Thanks Demiss [emoji120][emoji120][emoji120]Hapana wewe funguka vile moyo wako unapenda